Mimi ninayo hiyo simu katika mizigo ambayo natarajia kuituma hivi karibuni lakini kwa kuwa unahitajia basi itabidi niitowe katika mzigo na kumpatia mtu mkononi nitafute huyo mtu anayeondoka kuja huko haraka
Mimi ninayo hiyo simu katika mizigo ambayo natarajia kuituma hivi karibuni lakini kwa kuwa unahitajia basi itabidi niitowe katika mzigo na kumpatia mtu mkononi nitafute huyo mtu anayeondoka kuja huko haraka