iphone 18 promax
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,142
Wakuu hawa jamaa wanafaa kwa mikopo nataka kumalizia banda langu hebu nipeni ushauri
mkuu vp wanamakato makubwa sana tuambizane jamanimhhh utajuta!!!na hilo banda unaweza kuliuza kabsaaaaa
wewe acha uongo! nani asiyewajua ninyi bayport? riba kubwa na makato hayaishi mpaka kupelekana mahakamani! sijui kwa nini Serikali haijawamulika unless kama kuna vigogo wa Serikali wana hisa bayport!Hapana usisikie ya watu njoo ofisini kwetu tuongee ,utapata mkopo kadri utakavyo tena kwa mda mfupi sana .KOPA KWA MAAENDELEO KOPA BAYPORT
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
Ndugu mteja huduma zetu zimeboreshwa acha kusikiliza maneno ya mtaani kwa watu ambao hata sifa ya kukopa hawana ndo mana unasikia sijui mama alikopa ,achana na majumbu njoo ukope kwa faida yako
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums