Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
pole mkuuShida
Kuna umuhimu wa kujiandaa kwa lolote katika maishaTatizo Benki unakuta mlolongo mrefu halafu hizi kampuni janja janja wanakuambia mkopo ndani ya nusu saa...ukiwa na shida ndipo unapofanya maamuzi mabaya
Maisha yenyewe haya hata kesho hujui utakula nini, utajichangaje hapo ndio matatizo yanapoanza na ndipo kampuni za mikopo zinaponufaikapole mkuu
next time nenda benk japo shida hazibishi hodi
Kuna umuhimu wa kujiandaa kwa lolote katika maisha
Tuzichange kipindi tukiwa hatuna shida
Kile nilichokuwa naambiwa na watu kuhusu hii kampuni nimeamini ni kweli ni matapeli wakubwa hawa.
Walikuwa wananidai deni lao kama milioni 2, nimeangalia salary slip nimekuta wameongeza deni limefika milioni 5. Huu sio utapeli kweli?
Mimi siwezi kubali kutapeliwa kizembe naomba msaada jinsi ya kuwaadabisha hawa nyumbu.
Asante nitafanya hivyoFanya uwasliane nao haraka kabla hujapotezaĺ
Ila hakikisha una viambatisho vyako ikiwemo fomu na mkataba wa mkopo, makato ulikwisha wasilisha
Ukichelewachelewa utakuta mwana sio wako
Ofisi zako ziko Dom. Makao Makuu. Ninapendekeza upate taarifa zaidi katika webpage yao.Wanapatikana wapi mkuu
Inaelekea ulikuwa unaambiwa lakini hukuamini na wala hukuuliza zaidi mpaka ulipokutana na tatizo ndiyo umeamini na unaanza kukumbuka kuulizia ufanyeje. Watu wa aina yako ni wabinafsi sana. Mpaka apatwe na tatizo ndiyo anaamini na kuanza kuulizia atafanyaje.Kile nilichokuwa naambiwa na watu kuhusu hii kampuni nimeamini ni kweli ni matapeli wakubwa hawa.
Walikuwa wananidai deni lao kama milioni 2, nimeangalia salary slip nimekuta wameongeza deni limefika milioni 5. Huu sio utapeli kweli?
Mimi siwezi kubali kutapeliwa kizembe naomba msaada jinsi ya kuwaadabisha hawa nyumbu.
Nashukuru mkuuOfisi zako ziko Dom. Makao Makuu. Ninapendekeza upate taarifa zaidi katika webpage yao.
Nashukuru mkuuDuu pole sana
Inaelekea ulikuwa unaambiwa lakini hukuamini na wala hukuuliza zaidi mpaka ulipokutana na tatizo ndiyo umeamini na unaanza kukumbuka kuulizia ufanyeje. Watu wa aina yako ni wabinafsi sana. Mpaka apatwe na tatizo ndiyo anaamini na kuanza kuulizia atafanyaje.
Mkuu nmejifunzaInaelekea ulikuwa unaambiwa lakini hukuamini na wala hukuuliza zaidi mpaka ulipokutana na tatizo ndiyo umeamini na unaanza kukumbuka kuulizia ufanyeje. Watu wa aina yako ni wabinafsi sana. Mpaka apatwe na tatizo ndiyo anaamini na kuanza kuulizia atafanyaje.
Njaa ndo zinazotuponzaMkuu pole sana
Hawa jamaa ni matapeli sana muda mrefu tu.Mimi hata nipate shida kubwa kiasi gani huwa siwazi kabisa kukopa kwao.
Duuh jamaaangu kaingia mkenge daaahDah! Sasa sijui tutumie njia gani kufikisha ujumbe!! Lakini ni ukweli kwamba, kama wewe ni mtumishi wa umma, na unataka kukopa, basi nenda kwenye benki zinazo tambulika kama crdb, nmb, nk. Hata kama watakuchelewesha kuupata huo mkopo, ila mwisho wa siku utapata mzigo wako na makato yatakuwa ni yale mliyo kubaliana, tofauti kabisa na hao matapeli.
Hizo taasisi za kifedha ni pasua kichwa. Mara nyingi huja na maneno matamu na ya uongo! Ukinasa tu, umekwishwa.
NB: walimu wa ajira mpya, muwe makini. Subirini mpate sifa za kwenda kukopa benki, ndipo mkakope ilinunulie magari, pikipiki, mnunue viwanja, kusomesha, nk. Msikope kwenye hizo taasisi za kifedha kama bayport, platinum, nk. Wana riba kubwa sana hawa watu.