Bayport House
3rd Floor, Al Dua Towers
Plot 3/12, Regent Estate
New Bagamoyo Road, Kinondoni
P.O. Box 71767
Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 22 277 1420/1/2/3
Customer care: 0800 782 700
Kile nilichokuwa naambiwa na watu kuhusu hii kampuni nmeamini n kweli n matapeli wakubwa hawa.
Walikuwa wananidai deni lao kama milion 2 nimeangalia salary slip nmekuta wameongeza deni limefika milion 5 huu sio utapeli kweli?
Mm siwezi kubali kutapeliwa kizembe naomba msaada jinsi ya kuwaadabisha hawa nyumbu
Bayport House
3rd Floor, Al Dua Towers
Plot 3/12, Regent Estate
New Bagamoyo Road, Kinondoni
P.O. Box 71767
Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 22 277 1420/1/2/3
Customer care: 0800 782 700
Mimi jamaa yangu ashakutana na kesi kama hiyo. Ukienda ofisin kwao wanakwambia tuliza boli kesi kama zako zipo nyingi sana. Weka barua yako hapo zamu yako ikifika tutaona shida iko wapi. Hapo inaweza pita hata mwaka huku wanaendelea kukata.
Inategemea mkataba ulioingia wa mkopo wa iyo 2 million mlikubaliana utalipa baada ya muda gani. Kama mlikubaliana utailipa ndani ya miaka 5-7....ukijumuisha riba itafika huko tu.. sioni namna unaenda kuwashinda endapo mkopp wako ni wa muda mrefu.
Huwa taasisi zinakushawishi ulipe kwa muda mrefu kwani makato ya mwezi yanakuwa madogo zaidi, ila ukija kwenye riba ndo inakuwa style hii....
Inategemea mkataba ulioingia wa mkopo wa iyo 2 million mlikubaliana utalipa baada ya muda gani. Kama mlikubaliana utailipa ndani ya miaka 5-7....ukijumuisha riba itafika huko tu.. sioni namna unaenda kuwashinda endapo mkopp wako ni wa muda mrefu.
Huwa taasisi zinakushawishi ulipe kwa muda mrefu kwani makato ya mwezi yanakuwa madogo zaidi, ila ukija kwenye riba ndo inakuwa style hii....
Tatizo Benki unakuta mlolongo mrefu halafu hizi kampuni janja janja wanakuambia mkopo ndani ya nusu saa...ukiwa na shida ndipo unapofanya maamuzi mabaya