nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Huyu ni shujaa aliyesaulika. Ni bahati mbaya kuwa CCM hiyo hiyo iliyomtelekeza bado ni mwanachama wake. Na hili ndilo tatizo la watanzania walio wengi ingawa si wote. Hili ndilo tatizo kubwa la rafiki yake Fred Sumaye. Woga na kudhani kuwa nje ya CCM hakuna maisha.
Kweli ndio maana tunapata marais legelelege kweli wana ccm mnamchagua Bayi ambaye hata kusimamia timu ya olimpiki anashindwa, kweli bado tuna safari ndefu kweli kwa upuuzi kama huu ccm itaongoza milele tanzania.
Huyu ni shujaa aliyesaulika. Ni bahati mbaya kuwa CCM hiyo hiyo iliyomtelekeza bado ni mwanachama wake. Na hili ndilo tatizo la watanzania walio wengi ingawa si wote. Hili ndilo tatizo kubwa la rafiki yake Fred Sumaye. Woga na kudhani kuwa nje ya CCM hakuna maisha.
ahaaaaaaaaaaaaaaaaa,kumbeeeeeeeeeee.
Na Dina Ismail
MWANARIADHA mahiri wa zamani na Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) hivi sasa, Meja mstaafu Filbert Bayi, amefanikiwa kuchaguliwa kuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwakilisha Wilaya ya Karatu mkoani Arusha.
Bayi amefanikiwa kukata tiketi hiyo kupitia uchaguzi uliofanyika hivi karibuni, baada ya kupata kura 264, ambapo ataungana na Mary Sulley kura 545, Ori Pembe (kura 460), Fabiola Deo (kura 456) na Amsi aliyepata kura 322.
Katika uchaguzi huo, nafasi ya uenyekiti wa wilaya, ilikwenda kwa Mustafa Mbwambo aliyepata kura 512 na kumwangusha Gerald Gwaha aliyepata kura 148, huku mgombea mwingine aliyefahamika kwa jina la Tippe akijitoa katika kinyanganyiro hicho.
Kwa upande wa nafasi ya Halmashauri Kuu (NEC), Awaki Tlemai, alishika nafasi ya kwanza kwa kupata kura 545 akifuatiwa na Daniel Ilakwahhi kura 114.
kweli inashangaza mno hata CHADEMA kuongozwa na mtu aliyeshindwa kuwaongoza KONDOO wa BWANA akageuka kuwatafuna na kuwapa mimba hahahaha inashangaza kweli CCM itaongoza Daima ika
LOL! Sikujua hili. Mie namfahamu Bayi wa miaka ya 80 alivunja rekodi ya dunia wenzake wakachukuliwa na nchi tajiri yeye akadanganywa na kurejea nchini eti ni uzalendo. Kumbe kaishia kuwa kibaka! Kweli Tanzania ni chuo cha ujambazi na ufisadi!