
Umesahau kipindi barca wanaoga 4 home&away mess alikuwepo au hayo tukaushe?Vi thread vingine msiwe mnavianzisha![]()
![]()
![]()
![]()
Ninyi kazi kusema vya wenzenu mbona mlikalishwa nyingi na mtu mmoja![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ronaldoooooooo!!!!, vibonde wako hawa wa kukupatia magoli
Yaani we njo ukutane 2 na hivi vijamaa utavipiga hati vikimbie thread![]()
![]()
![]()
![]()
Au king messi njo uvipige tena matobo na uvilambishe mchanga
Vitoto hivi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()