econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,715
Huyu dada Catherine Ruge alivyopigwa Chini kwenye Ukatibu Mkuu wa BAWACHA nilihuzunika Sana.
Ila kwa Sasa naona waliompiga Chini waliona mbali Sana kumbe alikuwa kirusi kwenye chama. Kateuliwa tu kwenye Secretariat kwa heshima kaanza ujinga. Akae pembeni asaidie mambo ya uhasibu.
Ila kwa Sasa naona waliompiga Chini waliona mbali Sana kumbe alikuwa kirusi kwenye chama. Kateuliwa tu kwenye Secretariat kwa heshima kaanza ujinga. Akae pembeni asaidie mambo ya uhasibu.