- Thread starter
- #41
Ni ukweli wa wazi vyama imara vinahitaji taasisi imara na hizi ndiyo jumuia za chama, unapokuwa na jumuia zisizowajibika unaua chama kwa hiyo analysis yako ni msaada kwa chama chochote kinachozingatia ushauri UNAOTOLEWA NA WADAU WA SIASA ZA NCHI
Ushauri wako ni muafaka sana.