PostGE2025 BAVICHA: Yalitokea Oktoba 29, Serikali ya CCM wameharibu msingi wasitafute wa kumuangushia Jumba bovu"

PostGE2025 BAVICHA: Yalitokea Oktoba 29, Serikali ya CCM wameharibu msingi wasitafute wa kumuangushia Jumba bovu"

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Baraza la Vijana wa CHADEMA Taifa kupitia kwa Katibu Muenezi wa BAVICHA Taifa, Felius Festo kinimi watoa tamko juu ya yaliyotokea yaliyotokea Oktoba 29, 2025, "wameharibu msingi wasitafute wa kumuangushia Jumba bovu"

 
Baraza la Vijana wa CHADEMA Taifa kupitia kwa Katibu Muenezi wa BAVICHA Taifa, Felius Festo kinimi watoa tamko juu ya yaliyotokea yaliyotokea Oktoba 29, 2025, "wameharibu msingi wasitafute wa kumuangushia Jumba bovu"

CCM na Samia mnyonya damu za watu ni sikio la kufa, hilo limama inaonekana linafurahia sana kuua watu.
Screenshot_20251103-214923~2.jpg
 
Mama namuonea huruma sana sio uwamuzi wake sema uwamuzi wa watu wengine kabisa....Nampa pole sana kwa kutokufata roho yake nini inataka....Anabebeshwa mzigo na anakubali....

Kuna utofauti gani na mtu anabebeshwa madawa na anakubali wakati anajuwa ni makosaa na nikikamatwaa itakuwa imekula kwake ndio hapo mama amefanya sasa...
 
Back
Top Bottom