BAVICHA yakamata Nchi

Mkuu hayo mabuti wanayakaza kuelekea tumboni teh teh teh waambie hao MABAVICHA wapinge posho wabunge wao wanapiga posho sijasikia wakisema bado!

Malumbano na watu kama wewe ni utaahira wa mwisho kabisa, Angalia hisia zako tuachie hisia zetu
 
hawa vijana hii mipango yao wameanza muda muafaka , wakati magamba yanagalagazana wao wanaelimisha umma !
 
Hongera BAVICHA kwa kutuongoza kuelekea magogoni -hakuna kulala mpaka tufike magogoni. Hili genge la watuhumiwa wa ufisadi, unafiki na rushwa haliwezi kuendelea kutudidimiza na umaskini.
 
Pia fanyieni kwanza hili la kila mwaka kwa nini CDM wanapewa hati ya mashaka kutoka kwa CAG kwa ufisadi wa kutafuna Ruzuku wanayopewa na Serikali ya CCM?

safi sana bavicha uku kwetu jambazi lowasa ameanza kampeni ughambani hatuna cha kufanya ccm iko mfukoni mwa chenge
 
safi sana bavicha uku kwetu jambazi lowasa ameanza kampeni ughambani hatuna cha kufanya ccm iko mfukoni mwa chenge

Wewe macho yako huwa yanafanya kazi kama ya chura kuona kumbikumbi na wadudu tu! Pole compaign manager wa BAVICHA magogoni ina wenyewe!
 
nikiwa kama mwanabavicha hai ninayeelekea kumaliza shahada yang ya siasa hapa udsm in two weeks to come nafarijika kuona timu ninayoenda kufanya nayo kazi, makamanda asant sana mm nimeapa kupambana na dodoma mpaka pakae sawa, wagogo wanapenda mabdliko na mwaka wao ni huu kufuta uteja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…