nikiwa kama mwanabavicha hai ninayeelekea kumaliza shahada yang ya siasa hapa udsm in two weeks to come nafarijika kuona timu ninayoenda kufanya nayo kazi, makamanda asant sana mm nimeapa kupambana na dodoma mpaka pakae sawa, wagogo wanapenda mabdliko na mwaka wao ni huu kufuta uteja