BAVICHA Wamzima Nape Na Kinana Bukombe

BAVICHA Wamzima Nape Na Kinana Bukombe

Kidogo machadema nayaelewaga kwa sababu ni mawatu ya hoja...SSM ni ndio mzee kila kitu
 
Kidogo machadema nayaelewaga kwa sababu ni mawatu ya hoja...SSM ni ndio mzee kila kitu

Umepotea njia mkuu, hayo unayoyasifia huyajui ngoja siku yakikukongoloa meno ndo utayajua naleyombaga gete acha ushamba bhebhe!
 
Umepotea njia mkuu, hayo unayoyasifia huyajui ngoja siku yakikukongoloa meno ndo utayajua naleyombaga gete acha ushamba bhebhe!


Bora machadema yanitoe meno kuliko massm....machadema yataniweka ganzi....bhabha
Yenyewe ni majanja yanapinga marichmond, maesrow....ww Kama huyaelewi hata akija professa hutaelewa...
Yaani ww ni kichwa ngumu aka mzungu wa reli
 
Kinjekitile Junior naomba nikuulize kuwa unapodai wabunge wa Ukawa watapokea @230m wabunge wa CCM watalipwa @23m? Nina wasiwasi na mental faculties zako. Naomba unijibu ndiyo kwanza ndiyo nielendelee kuchangia hoja.
 
Uvccm ilishaacha siasa long time sasa ni makuwadi wa wasaka urais tu.
Pigeni kazi makamanda wa BAVICHA nyie ndio tumaini pekee kwa watanzania

Uv-ccm kazi wamemwachia Afisa wa wanyamapori a.k.a Mr. Elephant na Mr. Nepi!
 
hakika ccm imekwisha ! kama vijana wetu wamekimbiza viongozi wa kitaifa je tukija sisi wakongwe itakuwaje ?
 
Baraza la vijana wa CHADEMA Taifa,jana waliufanya mji wa Bukombe kusimama kwa muda wa masaa Matano,walipo kuwa wakiingia Bukombe Viongozi hao machachari walipokelewa kwa msafara mkubwa wa Magari na Pikipiki zilizopambwa kwa bendera za CHADEMA hadi katika viwanja vya Mkutano.

Mkutano ulianza majira ya saa10 za jioni,ambapo uwanja ulilipuka kwa Shangwe na vigelegele huku sauti zikisikia kwa mbali,kwa namna Viongozi hao walivyo jipanga.Katika msafara huo Yupo Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita,Naibu Katibu Mkuu Zanziba Omary Nassoro na Katibu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Edward Simbeye.

Mashambuli yenye hoja yaliofanywa na viongozi hao,yaliwafanya wananchi wa BUKOMBE kupiga kelele na kusema ukombozi umekuja sasa,kilicho wavutia zaidi wananchi ni jinsi Katibu Mkuu wa Baraza hilo pamoja na Mwenezi wake wanavyo shambulia jukwaa hata kupelekea kupewa majina ya Washambuliaji hatari wa Fc Barca yani MESSI na NEYMAR.

Baada ya mkutano kumakizika,gari la viongozi hao lilisukumwa mpk katika Hotel waliyofikia kwaajili ya kupumzika.

Tathmini ya wananchi baada ya mkutano kwisha,ni kwamba vijana wa BAVICHA wameweza kujenga hoja na kuonesha muelekeo wa Taifa,na wameufunika mkutano wa Nape na Kinana kwakuwa hawakuwa na hoja bali ni matusi na Maigizo tu yaliotawala jukwaani.

Maswali yaliyobaki vichwani kwa Wananchi,ni kwamba kama vijana hawa wanauwezo kiasi hiki je wakubwa wao itakuaje????

Hii ndio Hali Halisi Ilivyokua Bukombe Jana
 

Attachments

  • IMG-20150619-WA0018.jpg
    IMG-20150619-WA0018.jpg
    116.6 KB · Views: 204
  • IMG-20150619-WA0015.jpg
    IMG-20150619-WA0015.jpg
    88.7 KB · Views: 194
  • IMG-20150619-WA0016.jpg
    IMG-20150619-WA0016.jpg
    36.3 KB · Views: 188
  • IMG-20150619-WA0017.jpg
    IMG-20150619-WA0017.jpg
    111.7 KB · Views: 171
  • IMG-20150619-WA0011.jpg
    IMG-20150619-WA0011.jpg
    139.3 KB · Views: 162
Uvccm ilishaacha siasa long time sasa ni makuwadi wa wasaka urais tu.
Pigeni kazi makamanda wa BAVICHA nyie ndio tumaini pekee kwa watanzania
hawa hapa , wanauwana kwa ajili ya rushwa ya elfu tano tano !
 
Uvccm kazi yao nu kupiga watangaza nia wa chama chao wasio na pesa za kuwahonga au kuwatukana wagombea wasiowaunga mkono kama walivyomfanya mzee Kalokola.
 
Back
Top Bottom