BAVICHA Wamzima Nape Na Kinana Bukombe

BAVICHA Wamzima Nape Na Kinana Bukombe

Chademakwanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
6,346
Reaction score
1,872
Baraza la vijana wa CHADEMA Taifa,jana waliufanya mji wa Bukombe kusimama kwa muda wa masaa Matano,walipo kuwa wakiingia Bukombe Viongozi hao machachari walipokelewa kwa msafara mkubwa wa Magari na Pikipiki zilizopambwa kwa bendera za CHADEMA hadi katika viwanja vya Mkutano.

Mkutano ulianza majira ya saa10 za jioni,ambapo uwanja ulilipuka kwa Shangwe na vigelegele huku sauti zikisikia kwa mbali,kwa namna Viongozi hao walivyo jipanga.Katika msafara huo Yupo Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita,Naibu Katibu Mkuu Zanziba Omary Nassoro na Katibu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Edward Simbeye.

Mashambuli yenye hoja yaliofanywa na viongozi hao,yaliwafanya wananchi wa BUKOMBE kupiga kelele na kusema ukombozi umekuja sasa,kilicho wavutia zaidi wananchi ni jinsi Katibu Mkuu wa Baraza hilo pamoja na Mwenezi wake wanavyo shambulia jukwaa hata kupelekea kupewa majina ya Washambuliaji hatari wa Fc Barca yani MESSI na NEYMAR.

Baada ya mkutano kumakizika,gari la viongozi hao lilisukumwa mpk katika Hotel waliyofikia kwaajili ya kupumzika.

Tathmini ya wananchi baada ya mkutano kwisha,ni kwamba vijana wa BAVICHA wameweza kujenga hoja na kuonesha muelekeo wa Taifa,na wameufunika mkutano wa Nape na Kinana kwakuwa hawakuwa na hoja bali ni matusi na Maigizo tu yaliotawala jukwaani.

Maswali yaliyobaki vichwani kwa Wananchi,ni kwamba kama vijana hawa wanauwezo kiasi hiki je wakubwa wao itakuaje????
 
Uvccm ilishaacha siasa long time sasa ni makuwadi wa wasaka urais tu.
Pigeni kazi makamanda wa BAVICHA nyie ndio tumaini pekee kwa watanzania
 
Baraza la vijana wa CHADEMA Taifa,jana waliufanya mji wa Bukombe kusimama kwa muda wa masaa Matano,walipo kuwa wakiingia Bukombe Viongozi hao machachari walipokelewa kwa msafara mkubwa wa Magari na Pikipiki zilizopambwa kwa bendera za CHADEMA hadi katika viwanja vya Mkutano.

Mkutano ulianza majira ya saa10 za jioni,ambapo uwanja ulilipuka kwa Shangwe na vigelegele huku sauti zikisikia kwa mbali,kwa namna Viongozi hao walivyo jipanga.Katika msafara huo Yupo Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita,Naibu Katibu Mkuu Zanziba Omary Nassoro na Katibu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Edward Simbeye.

Mashambuli yenye hoja yaliofanywa na viongozi hao,yaliwafanya wananchi wa BUKOMBE kupiga kelele na kusema ukombozi umekuja sasa,kilicho wavutia zaidi wananchi ni jinsi Katibu Mkuu wa Baraza hilo pamoja na Mwenezi wake wanavyo shambulia jukwaa hata kupelekea kupewa majina ya Washambuliaji hatari wa Fc Barca yani MESSI na NEYMAR.

Baada ya mkutano kumakizika,gari la viongozi hao lilisukumwa mpk katika Hotel waliyofikia kwaajili ya kupumzika.

Tathmini ya wananchi baada ya mkutano kwisha,ni kwamba vijana wa BAVICHA wameweza kujenga hoja na kuonesha muelekeo wa Taifa,na wameufunika mkutano wa Nape na Kinana kwakuwa hawakuwa na hoja bali ni matusi na Maigizo tu yaliotawala jukwaani.

Maswali yaliyobaki vichwani kwa Wananchi,ni kwamba kama vijana hawa wanauwezo kiasi hiki je wakubwa wao itakuaje????

Viva Makamanda wa BAVICHA.
VIVA CHADEMA & UKAWA
 
Uvccm ilishaacha siasa long time sasa ni makuwadi wa wasaka urais tu.
Pigeni kazi makamanda wa BAVICHA nyie ndio tumaini pekee kwa watanzania

Tuwape kila msaada hawa vijana kwani wanatekeleza majukumu yao,siyo wale makuwadi
 
Baraza la vijana wa CHADEMA Taifa,jana waliufanya mji wa Bukombe kusimama kwa muda wa masaa Matano,walipo kuwa wakiingia Bukombe Viongozi hao machachari walipokelewa kwa msafara mkubwa wa Magari na Pikipiki zilizopambwa kwa bendera za CHADEMA hadi katika viwanja vya Mkutano.

Mkutano ulianza majira ya saa10 za jioni,ambapo uwanja ulilipuka kwa Shangwe na vigelegele huku sauti zikisikia kwa mbali,kwa namna Viongozi hao walivyo jipanga.Katika msafara huo Yupo Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita,Naibu Katibu Mkuu Zanziba Omary Nassoro na Katibu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Edward Simbeye.

Mashambuli yenye hoja yaliofanywa na viongozi hao,yaliwafanya wananchi wa BUKOMBE kupiga kelele na kusema ukombozi umekuja sasa,kilicho wavutia zaidi wananchi ni jinsi Katibu Mkuu wa Baraza hilo pamoja na Mwenezi wake wanavyo shambulia jukwaa hata kupelekea kupewa majina ya Washambuliaji hatari wa Fc Barca yani MESSI na NEYMAR.

Baada ya mkutano kumakizika,gari la viongozi hao lilisukumwa mpk katika Hotel waliyofikia kwaajili ya kupumzika.

Tathmini ya wananchi baada ya mkutano kwisha,ni kwamba vijana wa BAVICHA wameweza kujenga hoja na kuonesha muelekeo wa Taifa,na wameufunika mkutano wa Nape na Kinana kwakuwa hawakuwa na hoja bali ni matusi na Maigizo tu yaliotawala jukwaani.

Maswali yaliyobaki vichwani kwa Wananchi,ni kwamba kama vijana hawa wanauwezo kiasi hiki je wakubwa wao itakuaje????

Tathmini hiyo imefanywa na shirika gani?
 
Back
Top Bottom