BAVICHA: Tunakwenda Dodoma kumuunga mkono Magufuli

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,969


Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) wamesema wanaenda Dodoma kumuunga mkono Magufuli kwenye tamko lake la kuzuia mikutano ya vyama vya siasa hadi mwaka 2020.

Wanadai wamefanya hivyo kwa ajili ya uzalendo ili kuwe na usawa.
Nao Vijana wa CCM (UVCCM) wamelaani na kusema kuwa vijana wao watawashughulikia watu wote wanaoenda kuvuruga mkutano huo na CCM ina uwezo mkubwa sana.
 
nilichokiona kwenye video ya Mmarekani mwenye asili ya Africa aliyeuawa na askari mweupe ni kuna kipande cha tukio hakipo, mwanzoni unaona askari akiwa amemkalia juu mtuhumiwa huku akiwa amemlenga na bastora yake ila mwishoni inaonekana askari akiwa amerushwa pembeni na tayari mtuhumiwa ameisha kufa! Labda hapo kati mtuhumiwa alimpiga teke za korodani, unajua hizi sehemu nyeti zikipigwa zinauma hatari, R.I.P Nigga!

Turudi kwenye mada ya BAVICHA huku kwetu ukiingia anga za askari unapigwa tu, name nasema mkijileta Dodoma lazima mpigwe maana muda huu watu wapo mashambani alafu nyie mnaleta siasa zenu!
 
Ni baadhi tu ya vijana wasio jitambua na wasio na kazi za kufanya, kwa mtu mwenye weredi makini na anayejua wajibu wake na kweli katingwa na majukumu huwezi kumsikia anaandamana kwenda kupinga mkutano wa siasa tena kwa inchi km hii yenye demokrasia finyu.
 
Haha jamaa hawajapata semina elekezi ya kupiga tangu watoke kozi. Sasa nyie mnajipeleka..kudadeki i can't imagine na Lisu awe mstari wa mbele
 
Muandae na majeneza maana polisi wa kibongo hawana cha mswalie mtume mtavunjwa miguu na kutiwa vilema vya kudumu na msiwafanye chochote rejea mauaji ya arusha wanasema mwenye nguvu mwite power
 
Ukiwatoa polisi CCM hawana vijana wa kupambana na BAVICHA.

UVCCM kama kweli wanajiamini utengwe mkono dry bila policcm mtaona
 
Bavicha nao, si mpewe tu kadi muhamie ccm maana hamna tena jipya


Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) wamesema wanaenda Dodoma kumuunga mkono Magufuli kwenye tamko lake la kuzuia mikutano ya vyama vya siasa hadi mwaka 2020.

Wanadai wamefanya hivyo kwa ajili ya uzalendo ili kuwe na usawa.
Nao Vijana wa CCM (UVCCM) wamelaani na kusema kuwa vijana wao watawashughulikia watu wote wanaoenda kuvuruga mkutano huo na CCM ina uwezo mkubwa sana.
 
Bavicha wafanye maandamano ya kupinga siasa za vyama vingi tz.

Vyama vingi kwa tz vina hasara kuliko faida. Vinaleta ukanda, udini, ukada just to mention a few...
 
Mbona perepete mingi...nyie si mkuje.

Ajabu mnahangaika wakati huyo atakaye wahost (mwenyeji wenu) wala haongei.
 
CCM kikao cha nini wakati siasa tumeambiwa mpaka 2020,mna akili kweli ninyi.
 
Ukiwatoa polisi CCM hawana vijana wa kupambana na BAVICHA.

UVCCM kama kweli wanajiamini utengwe mkono dry bila policcm mtaona
Ah ah ah haaaaaaa....Labda kama unataka BAVICHA wapewe murder case maana wataua
 
Watanyooka tu. CCM hapana Chezea
Mkuu Lizabon, wewe ndani ya uvccm ni mkongwe kuliko Mtela Mwampamba. Sasa kama pamoja na ukongwe wako wameshindwa kusema ahsante na badala yake wamesema ahsante kwa akina Mwampamba & the likes, ni bora sasa ukapumzika siasa na hasa hizi za mitandaoni.
 
Mkuu Lizabon, wewe ndani ya uvccm ni mkongwe kuliko Mtela Mwampamba. Sasa kama pamoja na ukongwe wako wameshindwa kusema ahsante na badala yake wamesema ahsante kwa akina Mwampamba & the likes, ni bora sasa ukapumzika siasa na hasa hizi za mitandaoni.
Natumaini atalifanyia kazi wazo lako

Maana hakuna namna nyingine...
 


Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) wamesema wanaenda Dodoma kumuunga mkono Magufuli kwenye tamko lake la kuzuia mikutano ya vyama vya siasa hadi mwaka 2020.

Wanadai wamefanya hivyo kwa ajili ya uzalendo ili kuwe na usawa.
Nao Vijana wa CCM (UVCCM) wamelaani na kusema kuwa vijana wao watawashughulikia watu wote wanaoenda kuvuruga mkutano huo na CCM ina uwezo mkubwa sana.

Tutasikia mengi sana.....
 
Back
Top Bottom