Bavicha temeke watoa tamko

wewe Mjinga Nenda kanunue used computer Kama kawaida yako
 
nasubiri tamko la mkoa wa kilimanjaro au arusha wanaopinga ni wafuatao .ruvuma. mtwara.geita.vyuo vikuu,baregu. kigoma tuendelee
 
Ya NCCR & CUF yanatimizwa Chadema, hakika demokrasia ni ngumu ktk siasa za Tanzania.

Hakuna kitu hapo Mwana. Kwa Chadema wamegonga ukuta. Msaliti lazima aondoke. Na wanasema ukitaka kumfukuza kichaa, mtupie na makopo yake. Na hayo ndiyo makopo ya zito.
 
Kuzuia mazishi ya chadema ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono
 
Uongozi wa cdm hii ni fursa pekee ya kuwa tambua watu wa aina hii wako wengi na watazidi kujidhihirisha siku zinavyozidi kusonga mbele.
 

We malaya wa siasa
 
Last edited by a moderator:
Kuzuia mazishi ya chadema ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono

Nyie makenge mmekomaa na CDM wakati wanaichi mmewapandishia umeme kwa 68% hii ndo tutatoka nayo.
 
Mtalia sana lakini chama tayari tushasafisha mamluki,

Na wewe jiandae ama jiwajibishe mwenyewe kabla ya kuwajibishwa.
 

M-PESA nenda katowe
 

Naomba ni kusahihishe na nikuongoze.
Kwa usahihi wa jambo hili ni bora ungeweka wazi juu ya baraza kuu la january 28.2013 lililofanyika dsm moja ya maamuzi yake yalikuwa ni nini? Tuache kuwadanganya wanachama ambao hawanafursa ya kuingia kwenye vikao vikubwa kama hivyo.

Ndugu zangu napenda kuweka wazi ya kwamba mimi mwenyewe ni mjumbe wa baraza kuu, katika baraza kuu lililopita tuliagiza kamati kuu kushughulikia tuhuma za zitto na tulitaka kufanya maamuzi siku ile ile ya baraza kuu juu ya zitto ndipo mkt mbowe kwa busara zake akasimama na kuwaambia wanachama kuwa siyo vizuri kumuwajibisha zitto kwenye mahakama hii ya rufaa ambayo ndiyo kimbilio la kila mwanachama wa ngazi fulani anapokuja kukataa rufaa badala yake kamati kuu iende kukaa na ifanya maamuzi yake ndipo jambo hili liletwe kwenu viongozi na wajumbe wa baraza hili.

Nakumbuka wewe mleta uzi ama muandika habari ulikwepo na maamuzi ya kawa kamati kuu ikamahughulikie zitto kisha tuletewe taarifa za utekelezaji wa maazimio ya baraza kuu, ungesema kuwa kwanini kamati kuu imechelewa kumchukulia hatua wakati hayo yalikuwa ni maazimio ya baraza kuu la chama ningekuelewa na siyo kupotosha watu humu na hata zitto anajua ukweli huu maana alilia na kwenda chooni kufuta aibu baada ya wajumbe kuwa mbogo..zitto yumo humu aje abishe kuwa baraza kuu halikuagiza haya niliyoyasema ama mjumbe mwingine yoyote yule bila kupotosha.

Acheni kuwadanganya watu maamuzi yaliyochukuliwa ni sahihi kabisa wewe kama ni mjumbe wa baraza kuu tusubiri kikao hicho cha baraza kuu kwani ni lazima tutaletewa taaerifa ya maamuzi ya kamati kuu na sisi baraza kuu tutatoa ya kwetu.
 
Mtalia sana lakini chama tayari tushasafisha mamluki,

Na wewe jiandae ama jiwajibishe mwenyewe kabla ya kuwajibishwa.


Hahahahahahahahahhahahahaha

Yaani na wewe unajiweka humo!!!!!

Ama kweli dunia haiwezi kuisha vituko.
Ritz FaizaFoxy THE BIG SHOW mmeona kijana muashi? Huyu ni mlaghaika, umuhimu wake ni kuongeza idadi ya watu kwenye maandamano tu!!!
 
Last edited by a moderator:
Buku 7 team+ Team Zitto + PM7 mmeisha kazi.
 
Last edited by a moderator:
Kilimanjaro moja mjumbe wa baraza kuu chadema.

No wonder...
 
Last edited by a moderator:
Mtalia sana lakini chama tayari tushasafisha mamluki,

Na wewe jiandae ama jiwajibishe mwenyewe kabla ya kuwajibishwa.

ni bora jeshi la watu kumi kuliko la watu mia ndani yake wasaliti kibao tutimue wakafie mbali tuanze na huyo zitto kitilla, mwigamba..
 
Strategy za masalia za kitoto mno. Yaani watoa tamko lako, walifanya letu sote!!! Kama mwampenda Zitto si mumpe wake zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…