Hivi Bavicha zipo ngapi?
Matamko yamepamba moto. Tunasubiri tamko la Baraza la Wazee Chadema na BAWACHA.
Wakuu samahanini kwanza,
Hili neno "Intarahamwe" huwa lina maana gani jamani? Maana huwa naona makamanda wa UKAWA mnalitumia sana against vijana wa Lumumba.
Naona kila mkoa na Bavicha yake na wanatoa matamko.Kaka BAVICHA ipo 1 tu chini ya Kamanda John Heche. Kwann umeuliza swali hilo kamanda?
CCM ni kama mgonjwa mahututi sana ambaye inafikia wakati mnamuombea kifo ili apumzike kwa amani maana uwezekano wa kupona haupo.
Nasi twaiombea CCM ijifie tuui ili ipumzike kwa amani kuliko kuendelea kutapatapa kwa maumivu makali.
Mkishayakoroga huko kwenye Li-Saccos Lenu mnasingizia CCM. Chama cha Mapinduzi hakina muda mchafu kama huo. Kiko bize kutekeleza ilani zake!Wakati wa zitto mlitumia milioni ya fedha kuhonga watu nchi nzima wajiite viongozi chadema na watoe matamko , mngejua shule zisivyo na madawati ,maabara na nyumba za walimu mngefanya la maana sana kama mngejenga nyumba za walimu, kuliko mnavyojihangaisha.Nadhani ninyi ni waigizaji kuliko hata Check Noris wa USA Mbulula mkubwa wee!
Chadema ni magaidi, mnamwagia watu tindikali na kuwalisha sumu....wabaya sana nyieInterahamwe ni CCM na vibaraka wake
Molemo amehamia bavicha lini?
Ukitoka chooni.. unaleta harufu kalii ya msalani... Na badoMatamko yamepamba moto. Tunasubiri tamko la Baraza la Wazee Chadema na BAWACHA.