Chief Lugina
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 286
- 77
Katika kile kinachoonekana ni harakati ya kukitokomeza CCM jimbo la BUSANDA. BAVICHA-Busanda wamekuwa na program ya kutembea jimbo zima na leo ilikuwa ni zamu ya Kata ya KASEME inayoongozwa na Diwani wa CCM ambaye pia ni katibu wa mbunge wa BUSANDA. Katika mkutano huo makamanda wametoa elimu ya uraia.
Mkutano unaendelea nita waupdate baadae plus ma picha
Mkutano unaendelea nita waupdate baadae plus ma picha