Baunsa na majibu ya ngoma

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,145
Baada ya kupima ngoma maongezi ya daktari na baunsa yalikuwa hivi. Baunsa: mbona unanishangaa tu badala ya kunipa majibu? Dk. Naogopa utanidunda nikikupa majibu yako.
 
Basi baunsa kashajua majibu yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…