Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,453
- 92,816
Wapi picha?
haya mambo jamani.......mtu si uridhike na ulichonacho.Ahahah hilo nalo neno binamu ,inahuu labda anapelekwa jaman
Hehehehehe labda jamaa kaoge(ka-bath)Jamaa anavuta shisha sana ndiyo maana kamkimbia Makonda.
Anamaanisha kama Ney wa mitego alivyoimbaHalafu huo utani wako...Makonda ana kampeni nyingi, ombaomba, shisha, mashoga, usafi nk we unamaanisha ipi?
ile kampeni iliyovunja recordHalafu huo utani wako...Makonda ana kampeni nyingi, ombaomba, shisha, mashoga, usafi nk we unamaanisha ipi?
Hapana kaka. Sio SHISHA. Rekebisha kidogo kaka. Ney sio mtu mzuri!Jamaa anavuta shisha sana ndiyo maana kamkimbia Makonda.
Karuhusu "JIMBO" litumike, daaah. Ratio inazidi kuwa kubwa.Mwenzako hajakalia uchumi
Yupo jirani na mimi Bunju Beach kwenye nyumba aliyonunua kutoka kwa mzunguHuko Dar es salaam makazi yake ni wapi?
Mleta uzi ubuyu wako umekolea nazi hatari, eti ukizima simu ukiwasha kashahama nchi, nimepapenda hapo sanaKwa waliopo instagram unaweza kuona mbwembwe za Ommy Dimpoz, bata akula haswa sijui ndio kaacha muziki Ana kula mafao sasa. Mara Paris, uki weka bundle kaisha fika Ujerumani. Ukizima simu ukiwasha yupo Sweden huna kaa sawa utamsikia Dubai, kosa ujisahaulishe utamuona nduguyo Marekani sio tour ya music No, ni bata na relaxing flan hivi amazing... Kila la heri Ommy D.
Kwa waliopo instagram unaweza kuona mbwembwe za Ommy Dimpoz, bata akula haswa sijui ndio kaacha muziki Ana kula mafao sasa. Mara Paris, uki weka bundle kaisha fika Ujerumani. Ukizima simu ukiwasha yupo Sweden huna kaa sawa utamsikia Dubai, kosa ujisahaulishe utamuona nduguyo Marekani sio tour ya music No, ni bata na relaxing flan hivi amazing... Kila la heri Ommy D.
Ale na KUKU jaman!!Aache uonevu kwa BATA.Kwa waliopo instagram unaweza kuona mbwembwe za Ommy Dimpoz, bata akula haswa sijui ndio kaacha muziki Ana kula mafao sasa. Mara Paris, uki weka bundle kaisha fika Ujerumani. Ukizima simu ukiwasha yupo Sweden huna kaa sawa utamsikia Dubai, kosa ujisahaulishe utamuona nduguyo Marekani sio tour ya music No, ni bata na relaxing flan hivi amazing... Kila la heri Ommy D.
Hatari.Hehehehehe labda jamaa kaoge(ka-bath)