Basic Salary kwa mtu mwenye Diploma ya Nursing

Basic Salary kwa mtu mwenye Diploma ya Nursing

Kwhy we unaweza kuanza kaz bila kuulza mshahara. ...naona umetoka kuamka
Ingekuwa ndyo hivyo kozi zote kwenye joining instruction kungekuwa na kiwango cha mishahara

Soma sana huku ndani ni pasua kichwa salarysleep zina viraka vya kutosha mishahara haijaongezwa mwaka wa pili sasa

Pambana na kozi yako
 
Ingekuwa ndyo hivyo kozi zote kwenye joining instruction kungekuwa na kiwango cha mishahara

Soma sana huku ndani ni pasua kichwa salarysleep zina viraka vya kutosha mishahara haijaongezwa mwaka wa pili sasa

Pambana na kozi yako
Hata ungeongezwa mshahara uwe milion 7 kwa mwezi bado ungelalamika mshahara mdogo na ungelilia annual increament
But lengo langu me ni kujua basic salary tu ya anaeanza kaz
 
Hata ungeongezwa mshahara uwe milion 7 kwa mwezi bado ungelalamika mshahara mdogo na ungelilia annual increament
But lengo langu me ni kujua basic salary tu ya anaeanza kaz
Ok
 
Hata ungeongezwa mshahara uwe milion 7 kwa mwezi bado ungelalamika mshahara mdogo na ungelilia annual increament
But lengo langu me ni kujua basic salary tu ya anaeanza kaz
Dogo umeongea point sanaa ebu kula
 
Bora Hugo mwalimu wa degree anaondoka na 512000+
Mwaka 2015 ilikuwa basic yao 610000 kwa 630000

Walipoingiza annual incremental ikawa 680000 sijui walim ikawa ngapi

Uzuri diploma afya hawana mkopo
 
Back
Top Bottom