The great man2
Member
- Jul 20, 2014
- 60
- 9
Ndugu wana janvi naomba kujuzw kwa yule anayefahamu basi zuri linalofanya safari za dar to bukoba kila siku maana natarajia kusafiri kwenda uko ila ni mda mrefu sijaenda hivyo sina ufahamu mzuri na mabasi haya.tafadhar naomba mwenye ufahamu anifahamishe.