Basi leo nikakumbuka hili la mziki mnene

fundi bishoo

JF-Expert Member
Jun 26, 2018
14,033
26,445
Daaah kila nikiikumbuka hii event nafurahi sana siisahau nilikuepo uwanjani ile kuja jf tu nakutana na hii thread eti NIPAE??
Watu paaaaa
Screenshot_20191110-220413.jpeg
 
Poa tu vp ndg yng
Safi tu vp uko wazima???
Uku safi uko pande gani mkuu
Uku wazima uko pand gan mkuu
Nko dar ww uko wap kaka
Mm npo huku kigoma kaka vp uko jiji pa joto wanasemaje
Ww nani kakuambia kuwa dar kuna joto kwani....?
 
Back
Top Bottom