Traveller_mona Member Jan 11, 2019 94 161 Sep 23, 2020 #1 Wakuu natakunguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Wakuu basi gani la uhakika kutoka Dar kwenda Njombe?
Wakuu natakunguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Wakuu basi gani la uhakika kutoka Dar kwenda Njombe?
DR SANTOS JF-Expert Member Mar 11, 2019 10,519 21,434 Sep 23, 2020 #3 Santos06 said: luwinzo Click to expand... unafika saa 10-11
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,354 81,753 Sep 23, 2020 #5 Kwa sasa karibia Gari zote za Njombe Dar ziko poa. Kuanzia Luwinzo/Sweet Africa, Nyagawa, Galaxy, Mwalimi, Njombe Express, nk. Sema tu miaka michache iliyopita kulikua na mjinga mmoja anajiita Happy Africa alikua anazingua sana. Magari yake yalikua mabovu mpaka yalipitiliza.
Kwa sasa karibia Gari zote za Njombe Dar ziko poa. Kuanzia Luwinzo/Sweet Africa, Nyagawa, Galaxy, Mwalimi, Njombe Express, nk. Sema tu miaka michache iliyopita kulikua na mjinga mmoja anajiita Happy Africa alikua anazingua sana. Magari yake yalikua mabovu mpaka yalipitiliza.