Basi la Superfeo lapata ajali Songea

Kama ajali itakuwa inawahusu dereva na konda basi usafiri wa basi hilo ni salama kabisa kwa abiria
 
Mkuu anzisha mgomo wa kupanda mabasi, sio mbaya unaweza kutembea na miguu..
 
Super feo ana bus 12 mpya hazijaanza kazi huwezi jua
 
ni usafiri niliokuwa nauamini sana kila niendapo songea kutoka dar....huwa wana mwendo mzuri sana barabarani.
nadhan ni bahati mbaya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…