Mimi napenda
kujua kama BABA yako angekuwemo ndani ya basi bado ungetumia lugha kama
hiyo, "basi lachinja"
Ndugu yangu tatizo si mmiliki wa basi bali ni Polisi wa usalama barabarani. Rpc wa Tabora awajibike pamoja na Rto wake.Huyu mmiliki waSabena achukuliwe hatua kali,haiwezekani basi libebe watu 110 hata kama uroho wa hela hii ni too much!
Mimi napenda kujua kama BABA yako angekuwemo ndani ya basi bado ungetumia lugha kama hiyo, "basi lachinja"