Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Basi la kampuni ya RATCO, limetumbukia mtaroni maeneo ya kongowe ya Kibaha muda mfupi uliopita, lilikuwa linatoka Tanga kwenda Dar. Kwa kuwa nilipita hapo nikiwa ndani ya basi jingine, sina taarifa ya majeruhi wala vifo kama vipo.
Picha za ajali
Picha za ajali
![]()
Wananchi wakitoka kwenye gari kupitia madirishani.
Aha! kila mmoja akichomoka kujiokoa bila kusahau kipimajoto mkononi...
Basi la RATCO linalofanya safari zake Dar es Salaam kwenda Tanga limepata ajali eneo la Kibaha, Pwani leo jioni Aprili 27, 2014.
Kwa mujibu wa shuhuda aliyefika eneo la tukio alisema gari hilo lilipinduka ubavu baada ya kuacha njia.