Basi la mtei tena.

Wakazi wa Babati na Magugu wawe makini na nyama zitakazouzwa mabuchani leo na Kesho.

Wawe makin I?!!!" Kwanini???!"! Si bora hiyo nyama kuliko samaki wasiochinjwa???!
 
Reactions: y-n
Wawe makin I?!!!" Kwanini???!"! Si bora hiyo nyama kuliko samaki wasiochinjwa???!

Hivi kumbe samaki hawachinjwi?
#Makamee
Kumbe shemeji wala kibudu!
Au jamaa anatudanganya?
Mbona dagaa wanachinjwaga!
 
Hvi mtei hajamalizaga kutoaga makafara yake jaman!?
 
Hatufanani uelewa,mimi nimeona basi likigonga ng'ombe.
Liliwafuata porini au ng'ombe walikuwa barabarani? Sheria ya nchi hii hairuhusu ng'ombe kuchunga, au kupitishwa barabarani wakitembea
 
ishu ni kuchunga ng'ombe kando kando ya Barbara ,wanakera sana Jana kidogo nigonge ng'ombe Barbara hiyohiyo
 
Kama hapakua na kivuko cha wanyama inabidi mwenue ng'ombe hao ashtakiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…