Basi la mtei tena.

Basi la mtei tena.

Makamee

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
2,029
Reaction score
1,201
Limegonga kundi la ng'ombe na kuua ng'ombe 9 papo hapo nje kidogo ya mji wa Babati mkoani manyara.

Basi lilikua linatoka Singida kwenda Arusha.
Basi halikuanguka abiria wote wametoka salama.
 
Wakazi wa Babati na Magugu wawe makini na nyama zitakazouzwa mabuchani leo na Kesho.
 
Sawa! Hiyo lami ya Babati - Singida inapafanya pawe eneo HATARISHI KWA USALAMA BARABANI, mara NOAH mara Mtei vs Pikipiki, Mtei vs Ng'ombe .... Polisi na Nyara za Taifa ????
 
Limegonga kundi la ng'ombe na kuua ng'ombe 9 papo hapo nje kidogo ya mji wa Babati mkoani manyara.

Basi lilikua linatoka Singida kwenda Arusha.
Basi halikuanguka abiria wote wametoka salama.

kutakuwa na mkono wa mtu hapo, siyo bure hata kidogo!!!!!!!!!!!!!
 
Kwani wewe shemeji unakula Vibudu?

Shemeji kwani nyie unadhani hamli vibudu?
Mnadanganyika kirahisi wasilaam.
Zitagombaniwa hizo nyama hadi utashangaa shemeji.!
 
Shemeji kwani nyie unadhani hamli vibudu?
Mnadanganyika kirahisi wasilaam.
Zitagombaniwa hizo nyama hadi utashangaa shemeji.!

Aaa shemeji kama dereva alikua muislam na kabla ya kuwagonga alisoma ile dua ya kuchinjia Haina shida shemeji yangu.
Hiyo ni kitu halali naenda kula na dada yako shemeji.
 
Aaa shemeji kama dereva alikua muislam na kabla ya kuwagonga alisoma ile dua ya kuchinjia Haina shida shemeji yangu.
Hiyo ni kitu halali naenda kula na dada yako shemeji.

Nendeni mkale tu shemeji.
Dereva alikuwa Victor-Mkristo.
Alisema tu ku-m@m@e then akatembeza tairi!
Jana dada kaja na mdudu,nasikia ulimpenda sana mdudu!
 
Nendeni mkale tu shemeji.
Dereva alikuwa Victor-Mkristo.
Alisema tu ku-m@m@e then akatembeza tairi!
Jana dada kaja na mdudu,nasikia ulimpenda sana mdudu!

Haa haaa shemeji acha hizo,au unataka ninyang'anywe uimamu msikiti wa mtaa shemeji?
 
Haa haaa shemeji acha hizo,au unataka ninyang'anywe uimamu msikiti wa mtaa shemeji?

Labda hakukileta kwenu shemeji.
Itakuwa alipeleka kwa Omari au Shabani.
 
Labda hakukileta kwenu shemeji.
Itakuwa alipeleka kwa Omari au Shabani.

Shemeji kumbe dada yako hajatulia au alikua alikua anafanya biashara ya supu ya kitimoto.
 
Back
Top Bottom