Basi la Moro best likitokea Dodoma kwenda Dar limepata ajali mbaya sana muda huu eneo la Kibaigwa, ni mwendo kasi na imekoswa koswa na maroli na basi kabla ya kutumbukia kwenye mtaro, maiti wawili tayari wametolewa, majeruhi ni wengi mno na huenda idadi ya waliokufa ikawa kubwa zaidi, tuko katika jitihada za kunasua watu walionasa.
Picha baadae.
Picha baadae.