wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,188
Basi ilo linalofanya safari zake kati ya mpanda kwenda dsm limepata ajali eneo la nanga tabora.
Chanzo cha ajali iyo ni mwendokasi wa dereva wa basi ilo
Taarifa ya vifo na majeruhi zitatolewa na mamlaka husika
basi linalotoka mpanda halipiti nanga mkuu, nanga ni igungaBasi ilo linalofanya safari zake kati ya mpanda kwenda dsm limepata ajali eneo la nanga tabora.
Chanzo cha ajali iyo ni mwendokasi wa dereva wa basi ilo
Taarifa ya vifo na majeruhi zitatolewa na mamlaka husika
Sasa bila pichaBasi ilo linalofanya safari zake kati ya mpanda kwenda dsm limepata ajali eneo la nanga tabora.
Chanzo cha ajali iyo ni mwendokasi wa dereva wa basi ilo
Taarifa ya vifo na majeruhi zitatolewa na mamlaka husika
Wewe ndiye uliyekurupuka!basi linalotoka mpanda halipiti nanga mkuu, nanga ni igunga
acha kukurupuka basi
Watu wame wewuka vibayaKuna mijitu itakuja apa itamtaja jiwe
Jiwe ndiye mtoa roho mbwa yuleKuna mijitu itakuja apa itamtaja jiwe
Hivi umesoma ID ya mleta mada mkuu?basi linalotoka mpanda halipiti nanga mkuu, nanga ni igunga
acha kukurupuka basi
Watakuja apa mayatima watasema tukatubuJiwe ndiye mtoa roho mbwa yule
Huyu jamaa hii mara ya pili kuleta habari zisizokamilika,majuzi alileta habari ya ajali ya bus la New Force hivyo hivyo akiwa mbio mbio anaonekana kama siyo dereva wa bus basi ni dereva wa lorry anaandika haraka haraka huku akiendesha.Umefanya kama jina lako
Wapumbavu hawana akiliWatakuja apa mayatima watasema tukatubu
We subili