Hivi kwanini hakuna sheria ya kuwabana watu wanaotoa taarifa za uwongo hii picha niliiona fb ni tukio la miaka iliyopita leo unakurupuka kuleta taarifa isiyosahihi kwa uma,mi nafikiri wanasheria wakifanya kazi yao hili nalo ni dili sioni sababu ya wanasheria kukaa mtaani wakati fursa kama hizi zinajitokeza,vifungu tu waanze kuweka watu ndani.