oct_nnunduma
Member
- May 8, 2015
- 22
- 0
Duh ni hatar hapa elimu kwa madereva inahtajika pia abiria wakiwa ktk magar kuwepo na vipeperush vya elimu ndogo wakiwa ktk gari pakitokea ajar ya namna hyo ni hatua gani wazchukue kuweza kuzma moto
kumbeeee ahsante mkuu!
pamoja mkuu!!!daka mtumba;
weye kweli ni jinias, kumbe umegundua mkopo ule wa ruzuku yetu alikoipeleka?? Duh! Magari yote hayo, na leo kaunguza moja ili akapate jipa tena model ya kisasa?
Endelea kuidaka mitumba tu mpaka ukiamka kumekuchwa tena.
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafari Ibrahimu amesema Basi la Dar Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Arusha, leo mchana limeteketea kwa moto eneo la Kwamakocho, Kijiji cha Kimange, wilayani Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
![]()
Kamanda Ibrahimu amesema kuwa abiria wote waliokuwemo ndani ya basi hilo wako salama.
Eneo la Kwamakocho lipo katikati ya eneo la Mandela na Mbwewe mkoani Tanga.
RPC Jafari Ibrahimu amesema chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na akasema uchunguzi unaendelea.
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafari Ibrahimu amesema Basi la Dar Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Arusha, leo mchana limeteketea kwa moto eneo la Kwamakocho, Kijiji cha Kimange, wilayani Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
![]()
Kamanda Ibrahimu amesema kuwa abiria wote waliokuwemo ndani ya basi hilo wako salama.
Eneo la Kwamakocho lipo katikati ya eneo la Mandela na Mbwewe mkoani Tanga.
RPC Jafari Ibrahimu amesema chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na akasema uchunguzi unaendelea.
Aisee, mauza uza bado yanaendelea. Usanii wa sticker za fire hausaidii, wanatulipisha Tshs 30,000 na bado hazifanyi kazi.
aya mabasi bhana!!! kila nikisafir to mosh hukosi kuliona limeharibika
!!!!
Ivi haya magari mmiliki wake ni nani?
Inayakiwa kila abiria wakati kabla ya kuanza safari akakate bima ya safari ni kwa sh 5000/- kwa tripuUzuri wa gari hizo zote zinabima kubwa.
Sasa hapo mwenye gari miguu juu anasubiri alipwe kitu kipya.
Tatizo mali za abiria ndio watu huwa zinakula kwao