Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 9,993
- 88,197
Basi la Al Saedy linalofanya safari zake za Dar-Mpwapwa limepata ajali baada ya kutumbukia kwenye daraja la kijiji cha Ngh'ambi wilayani Mpwapwa wakati linatokea Dar Es Salaam kuja mpwapwa.
Bado haijafahamika majeruhi wangapi na waliofariki wangapi.
Bado haijafahamika majeruhi wangapi na waliofariki wangapi.


