Basi la Adventure connection wanatesa wasafiri wa Kasulu!

Basi la Adventure connection wanatesa wasafiri wa Kasulu!

WAPOMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2012
Posts
689
Reaction score
175
SUMATRA tunaomba ushirikiano wenu, nauli ya Kasulu na Kigoma ni tofauti! Lakini sisi wasafiri tunaosafiri Dar-Kasulu basi hulazimishwa kulipa nauli ya Kigoma. Mbaya zaidi hata ukitoa nauli ya Kigoma wakati unashuka Kasulu hata tikei hulazimisha iandikwe Kigoma wakati mwisho wa safari yako ni Kasulu.

Hili ni jambo la hatari sana wanasema wao wanafuata maelekezo ya bosi wao anaitwa Ahmad na kama hataki mrudishie pesa yake!! "Alitamka binti mmoja aliyeonekana kama bosi mwenye weupe wa mkorogo" Je huu ni uungwana!! Ukiwaambia hiyo tiketi inahitajika ofisini na ofisi inajua mwisho wa safari ni Kasulu hawakuelewi.

TUNAOMBA SUMATRA WAINGILIE KATI NA BARABARA KGM-DAR IKIKAMILIKA HAKIKA MTAKIONA
 
Hawa jamaa niwanyanyasaji kwelikweli na hawajaanza leo tangu enzi hizo ni bora kuepuka mabasi yao
 
Mbona watu wengi waliwahi kutoa kilio hiki bila kusikilizwa,hata anayepandia Kasulu kwenda Mwanza,Kahama etc lazima tiketi iandikwe kapandia Kigoma na Nauli analipa ya kutokea Kigoma,wanadai heti TLB yao ni ya kuanzia Kigoma,huu ni wizi wa mchana .
 
SUMATRA tunaomba ushirikiano wenu, nauli ya Kasulu na Kigoma ni tofauti! Lakini sisi wasafiri tunaosafiri Dar-Kasulu basi hulazimishwa kulipa nauli ya Kigoma. Mbaya zaidi hata ukitoa nauli ya Kigoma wakati unashuka Kasulu hata tikei hulazimisha iandikwe Kigoma wakati mwisho wa safari yako ni Kasulu.Hili ni jambo la hatari sana wanasema wao wanafuata maelekezo ya bosi wao anaitwa Ahmad na kama hataki mrudishie pesa yake!! "Alitamka binti mmoja aliyeonekana kama bosi mwenye weupe wa mkorogo" Je huu ni uungwana!! Ukiwaambia hiyo tiketi inahitajika ofisini na ofisi inajua mwisho wa safari ni Kasulu hawakuelewi.TUNAOMBA SUMATRA WAINGILIE KATI NA BARABARA KGM-DAR IKIKAMILIKA HAKIKA MTAKIONA!!!!!!

Mshukulini huyo mwarabu kwa kujitolea kutoa usafiri Kgm- Dar makampuni mangapi yamechemsha? lkn mwarabu amekuwa na nyoe wakati wa shida na raha hasa kipindi serikali yenu imewatenga hapakuwa na usafiri wa train wala ndege sasa bila kuwa na hiyo kampuni mngetoka huko? hata wakati wa elinino mwarabu hakuacha kutoa huduma ya usafiri. MPENI PONGEZI KWA KUWAJARI WANANCHI WA KGM Kwaani nauli ya KSL-KGM kiasi gani? utakuta tofauti ni sh 2,000/= au3,000/= . Pungezeni kulalamika.
 
Mshukulini huyo mwarabu kwa kujitolea kutoa usafiri Kgm- Dar makampuni mangapi yamechemsha? lkn mwarabu amekuwa na nyoe wakati wa shida na raha hasa kipindi serikali yenu imewatenga hapakuwa na usafiri wa train wala ndege sasa bila kuwa na hiyo kampuni mngetoka huko? hata wakati wa elinino mwarabu hakuacha kutoa huduma ya usafiri. MPENI PONGEZI KWA KUWAJARI WANANCHI WA KGM Kwaani nauli ya KSL-KGM kiasi gani? utakuta tofauti ni sh 2,000/= au3,000/= . Pungezeni kulalamika.
Sasa kwa nini anakataa kuandika neno kasulu kuwa ndio mwisho wa safari anakwepa nini!!! Mi nahitaji tiketi iliyoandikwa dar-kasulu hataki vilevile dharau kuwa kama hataki mpe pesa yake inakuwaje!!!!!!
Au ndio mshino!!!!!!!!!,,,,,,,,,,,,,Pesa sio shida tatizo hataki kunipa tiketi itakayokubalika ofisini!!!!
 
Sasa kwa nini anakataa kuandika neno kasulu kuwa ndio mwisho wa safari anakwepa nini!!! Mi nahitaji tiketi iliyoandikwa dar-kasulu hataki vilevile dharau kuwa kama hataki mpe pesa yake inakuwaje!!!!!!
Au ndio mshino!!!!!!!!!,,,,,,,,,,,,,Pesa sio shida tatizo hataki kunipa tiketi itakayokubalika ofisini!!!!


Ndgu yangu WAPOMA acha ubishi, hivi leo huyo mwarabu akisema kasulu hasimami mtafanyaje? serikali yenu ilishawatenga hamjitambui tu, bado mnataka kumkesea huyu mwarabu? hata mikoani ni hivyo, mfano Dar-Moro ni 7000 ukipandia charinze ni wajibu wako kulipa hiyi nauli coz yeye hana nafasi za katikati. au ukitaka kwenda Mbeya utalipa nauli ya mbeya haijarishi unashuka uyole. lipa nauli mpeni pongezi mwarabu.
 
Ndgu yangu WAPOMA acha ubishi, hivi leo huyo mwarabu akisema kasulu hasimami mtafanyaje? serikali yenu ilishawatenga hamjitambui tu, bado mnataka kumkesea huyu mwarabu? hata mikoani ni hivyo, mfano Dar-Moro ni 7000 ukipandia charinze ni wajibu wako kulipa hiyi nauli coz yeye hana nafasi za katikati. au ukitaka kwenda Mbeya utalipa nauli ya mbeya haijarishi unashuka uyole. lipa nauli mpeni pongezi mwarabu.
Naona hunielewi mei nilisafiri kwenda Iringa nikapanda basi ya mbeya wakaaandika nauli ya mbeya nikawaelekeza nahitaji tiketi ya nauli ya Iringa kwa ajili ya ofisi walinipa na hwakuniambia Kama hutaki rudisha pesa!!!
Tatizo sio pesa!!!!!!!!!!!!! Msaada kitu gani kila kitu kina mwanzo na mwisho!!! Hakika mabadiliko yanakuja ipo siku hakuna kulala kahama na kubembelezwa kwingiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mshukulini huyo mwarabu kwa kujitolea kutoa usafiri Kgm- Dar makampuni mangapi yamechemsha? lkn mwarabu amekuwa na nyoe wakati wa shida na raha hasa kipindi serikali yenu imewatenga hapakuwa na usafiri wa train wala ndege sasa bila kuwa na hiyo kampuni mngetoka huko? hata wakati wa elinino mwarabu hakuacha kutoa huduma ya usafiri. MPENI PONGEZI KWA KUWAJARI WANANCHI WA KGM Kwaani nauli ya KSL-KGM kiasi gani? utakuta tofauti ni sh 2,000/= au3,000/= . Pungezeni kulalamika.
We unavuta... huyu anayeroga watu wasiweze kupeleka mabasi mazuri route hiyo na kila anayeleta anapigwa vita ni mtu wa kumshukuru? kwa lip? kenge wee!
 
Watanzania wengi wajinga akitaka huyo mwarabu afunge ofisi kwan lazima awe yeye. u guys are stupid


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naona hunielewi mei nilisafiri kwenda Iringa nikapanda basi ya mbeya wakaaandika nauli ya mbeya nikawaelekeza nahitaji tiketi ya nauli ya Iringa kwa ajili ya ofisi walinipa na hwakuniambia Kama hutaki rudisha pesa!!!
Tatizo sio pesa!!!!!!!!!!!!! Msaada kitu gani kila kitu kina mwanzo na mwisho!!! Hakika mabadiliko yanakuja ipo siku hakuna kulala kahama na kubembelezwa kwingiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Mbeya na iringa kuna distance kubwa, ksl hapo km 80 tu unalinganisha na km 400
 
Mbeya na iringa kuna distance kubwa, ksl hapo km 80 tu unalinganisha na km 400


Mpuuzi wewe hujui tofauti ya Rami na Vumbi!!!!
Naishia hapa maana huelewi kabisa!!!
 
wewe wasema nafikiri hujaishi hukom KGM unamlaumu mwarabu badala ya serikali yako? miundombinu mibovu, basi Kgm-Dar safari mbili tu unabadiri tairi 6x800,000/= 4,800,000/= bado kuvunja spring na matengenezo mengine kibao, ndiyo maana lazima uwe mkongwe wa njia hiyo. mwarabu yupo tangu 1960 anatoa huduma ya mabasi, ni yeye mwasisi wa safari za Kgm-Dar wengine wakajaribu gharama za uendeshaji ni kubwa sana. e.g Nauli kwa abiria 55x60,000/= 3,300,000/=
gharama za uendashaji mafuta lita 400@2400= 960,000, bado gharama za matairi, posho, spring na nk. tuvumilie tu mpaka hapo serikali yetu itakapojenga miundo mbinu. Mikoa mingine safari ya km 1000 nauli ni 35,000/= tu. kwa sababu hakuna hasara na magari ni mengi. Lkn pia punguza matusi hayatakusaidia kukutoa kwenye ujinga ulionao. OK!

Watanzania wengi wajinga akitaka huyo mwarabu afunge ofisi kwan lazima awe yeye. u guys are stupid


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mshukulini huyo mwarabu kwa kujitolea kutoa usafiri Kgm- Dar makampuni mangapi yamechemsha? lkn mwarabu amekuwa na nyoe wakati wa shida na raha hasa kipindi serikali yenu imewatenga hapakuwa na usafiri wa train wala ndege sasa bila kuwa na hiyo kampuni mngetoka huko? hata wakati wa elinino mwarabu hakuacha kutoa huduma ya usafiri. MPENI PONGEZI KWA KUWAJARI WANANCHI WA KGM Kwaani nauli ya KSL-KGM kiasi gani? utakuta tofauti ni sh 2,000/= au3,000/= . Pungezeni kulalamika.

Isiwe sababu ya kutunyanyasa sisi wananchi wa Kigoma. Unakata tiketi ya Dodoma unalipa nauli ya Dar es salaam, wapi na wapi?
Hakuna cha kumpa pongezi kwani yupo kibiashara zaidi kuliko kuhudumia wananchi.
 
Isiwe sababu ya kutunyanyasa sisi wananchi wa Kigoma. Unakata tiketi ya Dodoma unalipa nauli ya Dar es salaam, wapi na wapi?
Hakuna cha kumpa pongezi kwani yupo kibiashara zaidi kuliko kuhudumia wananchi.


Dom au Moro nakubaliana na wewe lkn Chalinze, kibaha No.
 
watu wakigoma wamesafiri sana tusiwapuuze ktk hil hapa mie naona hoja ni validity ya documents ambazo mabos hasa ktk makampuni ya kigeni huhitaj hawapendi longolongo,pili suala la biashara ni profit making hakuna cha msaada hapo anapiga pesa acha kujidumaza.
 
sijaona tatizo katika hilo. hebu fikiria basi linatoka kigoma hadi dar na abiria 60 tu, bila shaka gharama za uendeshaji ni kubwa ukizingatia barabara ni mbovu. na hiyo ndio sababu hata kama abiria anatoka kigoma kwenda singida wanatoza nauli ya dar. hawa jamaa wanajityahidi kuhudumia watu ingawa magari yao ni mabovu. ukiona hawakufai unatumia basi nyingine. hii ni dunia ya free market economy
 
Hawa jamaa niwanyanyasaji kwelikweli na hawajaanza leo tangu enzi hizo ni bora kuepuka mabasi yao

utapanda basi gani sasa? Wao ndo wachawi wakuu, kampuni mpya ikija lazima gari zipinduke
 
Mfano unatoka mwanza kuja chalinze/mlandizi/kibaha unalipishwa nauri ya dar na mambo yanaendelea ni kitu cha kawaida sana,au mtu anayetoka dar to arusha hapa ukiwa unashukia usa au Kia au hai unalipa nauri ya arusha mjini
 
Back
Top Bottom