Basi la Adventure connection wanatesa wasafiri wa Kasulu!

Basi la Adventure connection wanatesa wasafiri wa Kasulu!

Ngoja wateswe coz waha wabishi sana...tena waongeze kuwatesa kabisaaa
 
wewe wasema nafikiri hujaishi hukom KGM unamlaumu mwarabu badala ya serikali yako? miundombinu mibovu, basi Kgm-Dar safari mbili tu unabadiri tairi 6x800,000/= 4,800,000/= bado kuvunja spring na matengenezo mengine kibao, ndiyo maana lazima uwe mkongwe wa njia hiyo. mwarabu yupo tangu 1960 anatoa huduma ya mabasi, ni yeye mwasisi wa safari za Kgm-Dar wengine wakajaribu gharama za uendeshaji ni kubwa sana. e.g Nauli kwa abiria 55x60,000/= 3,300,000/=
gharama za uendashaji mafuta lita 400@2400= 960,000, bado gharama za matairi, posho, spring na nk. tuvumilie tu mpaka hapo serikali yetu itakapojenga miundo mbinu. Mikoa mingine safari ya km 1000 nauli ni 35,000/= tu. kwa sababu hakuna hasara na magari ni mengi. Lkn pia punguza matusi hayatakusaidia kukutoa kwenye ujinga ulionao. OK!
Kwani Kigoma Dar ni kilomita ngapi? Kwa uelewa wangu nadhani kila lita moja ni kama kilomita 5 au 6, sasa kama anatumia lita 400, una maana kuwa Dar Kigoma ni kama kilomita 2000 kama atatumia lita 400 kwa safari ya kwenda tu, ni kweli mkuu?
 
Hivi kule Kigoma neno MSHINO huwa lina maana gani vile....
 
Last edited by a moderator:
Hivi kule Kigoma neno MSHINO huwa lina maana gani vile....
 
Last edited by a moderator:
Hivi kule Kigoma neno MSHINO huwa lina maana gani vile....
 
Last edited by a moderator:
Kwani Kigoma Dar ni kilomita ngapi? Kwa uelewa wangu nadhani kila lita moja ni kama kilomita 5 au 6, sasa kama anatumia lita 400, una maana kuwa Dar Kigoma ni kama kilomita 2000 kama atatumia lita 400 kwa safari ya kwenda tu, ni kweli mkuu?


Ndg yangu hiyo consumption yako ni gari dogo mabasi na maroli consumption yake ni 4ltr/km na KGM -DAR ni km 1400km.
 
Ngoja wateswe coz waha wabishi sana...tena waongeze kuwatesa kabisaaa


Ndg yangu Manyesa Kgm siyo ya waha tu yawezekana hata ndg yako yuko huko, Kgm kuna fursa nyingi sana, wengi walikuwa na negative assumption kabla ya kwenda lkn walipoenda wakafanya kazi wengi wamewekeza huko, huo ni mtazamo tu. Serikali yao ndiyo inayowatesa.
 
Back
Top Bottom