Na nauli yake tafadhali
dar mza panda MASTER CITY 40,000,= AU SUPER SAMI 40,000/=
mwendo mzuri na mabasi bado mapya,
green star wamebakiza jina na kugawa maji na pipi ila mabasi yamechoka, mwendo mdundo na nauli kubwa 45,000/= hayachelewi kukulaza njiani.
ukitaka mwendo mdundo kufika fasta panda ALLYZ, YAAN SAA MBILI UPO MWANZA .
Kwa basi za kawaida panda Zuberi 35,000 hadi 40,000 au princess shabaha 40000
na ukitaka kulala njiani panda SAI BABA au PRINCESS MURO au NAJMUNISA au BEST LINE
HAYA KAZI KWAKO MDAU
dar mza panda
MASTER CITY 40,000,= AU SUPER SAMI 40,000/=
mwendo mzuri na mabasi bado mapya,
green star wamebakiza jina na kugawa maji na pipi ila mabasi yamechoka,
mwendo mdundo na nauli kubwa 45,000/= hayachelewi kukulaza njiani.
ukitaka mwendo mdundo kufika fasta panda ALLYZ, YAAN SAA MBILI UPO
MWANZA .
Kwa basi za kawaida panda Zuberi 35,000 hadi 40,000 au princess shabaha
40000
na ukitaka kulala njiani panda SAI BABA au PRINCESS MURO au NAJMUNISA au
BEST LINE
HAYA KAZI KWAKO MDAU
mkuu inaonyesha unauzoefu wakutosha, iv we badonikonda au bado ni tingo?
hivi uzuri wa basi nini? nauli mwendo wa dereva au bodi ya gari hiyo kwa nje? au huduma azipatazo mtu ndani ya gari? nisaidieni kuelewa hili kabla sijajibu.
Duh jf ni kiboko,iyo analysis lolm nakuomba tu panda allys..sa mbili limechelewa sana sa 3 ....green star,zuber,lucky star ,shabaha yako vizur lakini utafka saa 5...usiogope mwendo ajali zipo kwa sababu yetu.. zuber halikimbii sana sababu wanapimiwa mafuta ukikimbia mafuta yakiisha utatafuta pesa mfukoni kwako....ila hayo mengine yanakimbia lakini yana timing ndo mbovu hasa ya kutoka dar kutokana na foleni ya kutokea ubungo...green star yameshachoka..hukawii kulala singida...ila ckushauri upande saibaba mohamedi trans,muro najumunisa hayo ni kimeo na ukifanya mchezo unaweza fika mwanza huna hata shilingi c unajua wazee wa utekaji kwa mabasi yanayochelewa.....allys wanahonga matrafik kabla ya safari mpunga unakua umeshapitishwa na watu wao kila mkoa ...hayasimamishwi ovyo ovyo...ila hayo mengine kila kituo mkono...hapo ndo utofauti kwanini allys anawai
Hiyo tabia ya kuhonga matrafiki barabara nzima wanayo ILASI,TWIGA na HAPPYNATION kwa njia yetu siye wa nyanda za juu kusini a.k.a GREEN CITY.m nakuomba tu panda allys..sa mbili limechelewa sana sa 3 ....green star,zuber,lucky star ,shabaha yako vizur lakini utafka saa 5...usiogope mwendo ajali zipo kwa sababu yetu.. zuber halikimbii sana sababu wanapimiwa mafuta ukikimbia mafuta yakiisha utatafuta pesa mfukoni kwako....ila hayo mengine yanakimbia lakini yana timing ndo mbovu hasa ya kutoka dar kutokana na foleni ya kutokea ubungo...green star yameshachoka..hukawii kulala singida...ila ckushauri upande saibaba mohamedi trans,muro najumunisa hayo ni kimeo na ukifanya mchezo unaweza fika mwanza huna hata shilingi c unajua wazee wa utekaji kwa mabasi yanayochelewa.....allys wanahonga matrafik kabla ya safari mpunga unakua umeshapitishwa na watu wao kila mkoa ...hayasimamishwi ovyo ovyo...ila hayo mengine kila kituo mkono...hapo ndo utofauti kwanini allys anawai
m nakuomba tu panda allys..sa mbili limechelewa sana sa 3 ....green star,zuber,lucky star ,shabaha yako vizur lakini utafka saa 5...usiogope mwendo ajali zipo kwa sababu yetu.. zuber halikimbii sana sababu wanapimiwa mafuta ukikimbia mafuta yakiisha utatafuta pesa mfukoni kwako....ila hayo mengine yanakimbia lakini yana timing ndo mbovu hasa ya kutoka dar kutokana na foleni ya kutokea ubungo...green star yameshachoka..hukawii kulala singida...ila ckushauri upande saibaba mohamedi trans,muro najumunisa hayo ni kimeo na ukifanya mchezo unaweza fika mwanza huna hata shilingi c unajua wazee wa utekaji kwa mabasi yanayochelewa.....allys wanahonga matrafik kabla ya safari mpunga unakua umeshapitishwa na watu wao kila mkoa ...hayasimamishwi ovyo ovyo...ila hayo mengine kila kituo mkono...hapo ndo utofauti kwanini allys anawai