Basi gani nzuri kutoka Arusha kwenda Mbeya?

Basi gani nzuri kutoka Arusha kwenda Mbeya?

donacianm

Senior Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
162
Reaction score
72
Wadau nisaidieni ni gar gani nzuri na linawahi kufika Mbeya kutokea Arusha. Naombeni ushauri wenu
 
Ukitaka Kuwahi Kufika Panda Gracious, ukitaka Uhakika wa Kufika Panda Arusha Express
 
Mkuu basi la uhakika ni Gracious the navigator. Unafika Mbeya saa tatu na nusu mpaka saa nne japo huwa linafuatiwa na Arusha express.
 
Hood inalala njian,,,,kiazi kitamu iliachaga,,,,,zilizopo ni otta ,mo classic,,, arusha exp,,,respect,,, na gracious,,,, nazan ukipanda arusha exp itapendeza zaid
 
Hood inalala njian,,,,kiazi kitamu iliachaga,,,,,zilizopo ni otta ,mo classic,,, arusha exp,,,respect,,, na gracious,,,, nazan ukipanda arusha exp itapendeza zaid
Asantee ngoja nitachek gracious au Arusha express
 
Arusha exp linazungukia bbt hivyo linawahi kufika. ngoma 5 usiku uko mbey...ila balaa lake ni kwenye mbu na mende huko ndan, yaani basi lina mbu lile sijawah kuona.
 
Back
Top Bottom