Clouds walimzalilisha sana Makonda bila sababu za msingi..Wanapojipambanua kuwa watu wasiwe kaa, wajiambie nao pia wasiwe kaa!
KUNA TOFAUTI KATI YA KANISA/HEKALU NA JENGO LA KANISA. KANISA/HEKALU LIKO NDANI YA MTU MWENYEWE (NDANI YA NAFSI) NA NDIO MAANA NENO LA MUNGU LINASEMA "JE HAMJUI KUWA NINYI NI HEKALU/KANISA LA MUNGU NA MUNGU ANAKAA NDANI YENU (SIO NDANI YA JENGO LA KANISA)"Msemo huu kwa nini hauhusishi Kanisa!!?, au kuna ukweli kuwa kanisa sio nyumba ya Mungu eeeh..?
Kwani hapo ilizungumzia nyumba ya MUNGU au SinagogiMsemo huu kwa nini hauhusishi Kanisa!!?, au kuna ukweli kuwa kanisa sio nyumba ya Mungu eeeh..?