mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Mbune wa Jimbo la Buyungu, Wilayani Kakonko, Mkoa wa Kigoma, Mheshimiwa Kasuku Bilago wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ahoji cheti cha Bashite kina nini? kwanini kinafichwa tuu.
Analindwa na nani?