PostGE2025 Bashiru Ally: Amani, haki na uhuru ni msingi muhimu usiofaa kupuuzwa

PostGE2025 Bashiru Ally: Amani, haki na uhuru ni msingi muhimu usiofaa kupuuzwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Bashiru Ally, ambaye ni Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema kuwa amani, haki na uhuru ni nguzo muhimu ambazo haziwezi kupuuzwa.
Ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano na Mtangazaji Chief Odemba katika kipindi cha Medani Kuu cha Star TV.

Amesisitiza kuwa taifa lina wajibu wa kuimarisha na kulinda misingi hiyo kwa manufaa ya wananchi wote.
 
Back
Top Bottom