GE2025 Bashe: Utu wa mtanzania haulindwi Twitter (X) au Instagram

GE2025 Bashe: Utu wa mtanzania haulindwi Twitter (X) au Instagram

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
"Uchaguzi huu wa Oktoba 29, 2025 ni uchaguzi wa kufanya maamuzi kati ya Maisha halisi na anasa, wapo wanaojadili anasa wakitaka ndio ziwe ajenda za uchaguzi kwamba haki na uhuru wetu umeondolewa kwasababu hakuna Twitter, sisi huku Vijijini tunaelewa maana ya hatua unazozichukua.

... Niwaombe ndugu zangu mbegu zimeshaanza kusambazwa, mbolea zimeanza kufika, mvua zimeanza kuonesha dalili, Mama ametupa fedha matrekta yapo na ametoa ahadi ya kuongeza mengine yafikie 10,000 kwaajili ya wakulima wa nchi hii katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Anatoa ruzuku kwenye mbolea, kwenye mbegu na kwenye ugani na amesaini kuanzishwa kwa wakala wa ugani wa Taifa, anatoa ruzuku ya trekta na hii ndio tafsiri ya kukuza utu wa mtu kwani Utu wa mtu unaanzia mfukoni na tumboni.

"Utu wa Mtanzania haulindwi kwa Twitter, Instagram wala Social Media. Tarehe 29 tujitokeze tukapiganie uhuru wetu wa pili ambao ni uhuru wa kiuchumi wa kumuondoa Mtanzania kwenye umaskini. Tuungane sote." Hussein Bashe, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, akimnadi Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Oktoba 11, 2025, Shinya ga Mjini Mkoani Shinyanga.
 
Huyu jamaa baada ya kupewa uwaziri kawa mjinga, Mbona 2017 alipigia fujo mambo ya kutekana hali yakua JPM alikua anafanya miradi mikubwa kuliko hizo bla bla zake.?. Hii nchi kila mtu akipata sehem ya kula anakua mbumbumbu .
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa wao na mali zao tupo nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua
 
Bashe anaiona mitandao ya kijamii ni anasa, haina ulazima kuwepo, si haki
 
Kila baada ya miaka mitano wanasiasa wanakuja na ahadi kedekede lakini maisha ya Mtanzania yanazidi kuwa ya ufukara.
 
Back
Top Bottom