Bashe: Spika Ndugai gombea tena ubunge 2025

W
 
Hapo Bashe katumwa kupima upepo kwanza kisha mbilikimo wa Kongwa atakuja kutengua kauli ya kustaafu 2025 kupitia press conference
 
Bashe jamani umekuwa mzee ghafla kwa kuona wazeee waendelee badala ya kushauri damu changa ,vijana wagombee jamani mtu kawa mbuge wa same jimbo kwa miaka karibu 20 jamani pumzika.
 
Bashe kawa kama mento,badala ya kuangalia maslahi ya wana Kongwa yeye anaangalia tumbo la mtu mmoja. Ama kweli CCM hawaaminiki,Bashe alikuwa mtu makini sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…