Bashe aungwe mkono, kwa hili apongezwe. Biashara holela hapana Tanzania

chotera

JF-Expert Member
May 19, 2016
6,305
15,034
Uwe Mkulima au Usiwe Mkulima.
Fahamu hapa kua lazima kama ni biashara ufuate utaratibu mahsusi ili ufanye biashara,
Haiwezekani malori yatoke Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya yaingie hadi mashambani, wanunue mazao yote halafu baadae vyakula vipande watu waanze kulia haiwezekani.

Hakuna usalama wa nchi kama hakuna chakula haipo hiyo,
Mkulima Beba mahindi kauze NFRA kwa bei nzuri piga pesa tulia.

Mfanyabiashara, fanya yafuatayo ufanye biashara.

1.sajili kampuni

2.nenda TRA ukadiriwe mapato

3. Watakupatia TIN yako utambulike

4. TRA watakukadiria kodi lipa kodi yako pata tax clearance

5. Nenda halmashauri nako utalipia gharama za leseni ya kusafirisha mazao hapo umekamilika

6.Tafuta kibali cha kuexport mazao wizara ya kilimo ambapo ni chini ya masaa 24 unapata

Hapo unakua na ruksa kusafirisha mazao yako nje ya nchi.

Na baada ya hayo yote iwe marufuku kwenda mashambani, kwa mkulima kununua mazao unachotakiwa kufanya ni kuenda kwenye maghala ya Taifa ambayo yatakua verified unaweza kununua au kwenye vituo vilivyoidhinishwa na serikali.

Faida kubwa serikali itaweza kufahamu kiasi gani kiuzwe nje na kiasi gani kibakie ndani kwa usalama wa chakula na nchi itakua stable.

Haiwezekani nchi iwe shamba la bibi yaani kila mmoja aingie kujichotea atakavyo.

HONGERA Waziri Bashe, hatimaye umeyasikiliza maoni yetu tulio wengi.
 
Kwa hili naunga mkono ila kwa kupata kibali within 24 hours?
Naomba iwe hivyo kwa mimi hata wiki sawa kama hakuna ya soda
 
Uwe Mkulima au Usiwe Mkulima.
Fahamu hapa kua lazima kama ni biashara ufuate utaratibu mahsusi ili ufanye biashara,
Haiwezekani malori yatoke Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya yaingie hadi mashambani, wanunue mazao yote halafu baadae vyakula vipande watu waanze kulia haiwezekani.

Hakuna usalama wa nchi kama hakuna chakula haipo hiyo,
Mkulima Beba mahindi kauze NFRA kwa bei nzuri piga pesa tulia.

Mfanyabiashara, fanya yafuatayo ufanye biashara.

1.sajili kampuni

2.nenda TRA ukadiriwe mapato

3. Watakupatia TIN yako utambulike

4. TRA watakukadiria kodi lipa kodi yako pata tax clearance

5. Nenda halmashauri nako utalipia gharama za leseni ya kusafirisha mazao hapo umekamilika

6.Tafuta kibali cha kuexport mazao wizara ya kilimo ambapo ni chini ya masaa 24 unapata

Hapo unakua na ruksa kusafirisha mazao yako nje ya nchi.

Na baada ya hayo yote iwe marufuku kwenda mashambani, kwa mkulima kununua mazao unachotakiwa kufanya ni kuenda kwenye maghala ya Taifa ambayo yatakua verified unaweza kununua au kwenye vituo vilivyoidhinishwa na serikali.

Faida kubwa serikali itaweza kufahamu kiasi gani kiuzwe nje na kiasi gani kibakie ndani kwa usalama wa chakula na nchi itakua stable.

Haiwezekani nchi iwe shamba la bibi yaani kila mmoja aingie kujichotea atakavyo.

HONGERA Waziri Bashe, hatimaye umeyasikiliza maoni yetu tulio wengi.
wanaosafirisha mazao siyo wakulima ndugu yangu, wale ni wafanyabiashara wa mazao ya chakula hasa mahindi. Hawa wafantabiashara wana vituo vyao vya kunua mazao kule kijijini. Uzuri wa hawa wafanyabiashara kuruhusiwa kuuza mazao popote ni ukweli kuwa watakuwa wananunua kwa bei nzuri kwa mkulima halisi. Hawa siyo wakulima lazima wasajili biashara zao.
 
Kama akifanikiwa kupunguza Jam ya madalali na walanguzi atasaidia sana wakulima,ila kilimo bongo wanao nufaika ni walanguzi na madalali. Ajitahidi atengeneze mfumo wa IT ambao utakuwa chini ya serikali na unamkutanisha mnunuzi na mkulima moja kwa moja.
 
Uwe Mkulima au Usiwe Mkulima.
Fahamu hapa kua lazima kama ni biashara ufuate utaratibu mahsusi ili ufanye biashara,
Haiwezekani malori yatoke Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya yaingie hadi mashambani, wanunue mazao yote halafu baadae vyakula vipande watu waanze kulia haiwezekani.

Hakuna usalama wa nchi kama hakuna chakula haipo hiyo,
Mkulima Beba mahindi kauze NFRA kwa bei nzuri piga pesa tulia.

Mfanyabiashara, fanya yafuatayo ufanye biashara.

1.sajili kampuni

2.nenda TRA ukadiriwe mapato

3. Watakupatia TIN yako utambulike

4. TRA watakukadiria kodi lipa kodi yako pata tax clearance

5. Nenda halmashauri nako utalipia gharama za leseni ya kusafirisha mazao hapo umekamilika

6.Tafuta kibali cha kuexport mazao wizara ya kilimo ambapo ni chini ya masaa 24 unapata

Hapo unakua na ruksa kusafirisha mazao yako nje ya nchi.

Na baada ya hayo yote iwe marufuku kwenda mashambani, kwa mkulima kununua mazao unachotakiwa kufanya ni kuenda kwenye maghala ya Taifa ambayo yatakua verified unaweza kununua au kwenye vituo vilivyoidhinishwa na serikali.

Faida kubwa serikali itaweza kufahamu kiasi gani kiuzwe nje na kiasi gani kibakie ndani kwa usalama wa chakula na nchi itakua stable.

Haiwezekani nchi iwe shamba la bibi yaani kila mmoja aingie kujichotea atakavyo.

HONGERA Waziri Bashe, hatimaye umeyasikiliza maoni yetu tulio wengi.
Hazina ya CHAKULA ni kiduchu.

Tuuzieni Watanzania wenzenu, tukishiba ndo mpeleke nje.

BASHE aungwe mkono.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
Huko stakabadhi ghalani wanako pangiwa bei ya kuuza?

Yaani Mkulima ahangaike weee na kazi ya kilimo ilivyo ngumu halafu wakati wa kuuza umpangie bei ?

Nyie
 
Uwe Mkulima au Usiwe Mkulima.
Fahamu hapa kua lazima kama ni biashara ufuate utaratibu mahsusi ili ufanye biashara,
Haiwezekani malori yatoke Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya yaingie hadi mashambani, wanunue mazao yote halafu baadae vyakula vipande watu waanze kulia haiwezekani.

Hakuna usalama wa nchi kama hakuna chakula haipo hiyo,
Mkulima Beba mahindi kauze NFRA kwa bei nzuri piga pesa tulia.

Mfanyabiashara, fanya yafuatayo ufanye biashara.

1.sajili kampuni

2.nenda TRA ukadiriwe mapato

3. Watakupatia TIN yako utambulike

4. TRA watakukadiria kodi lipa kodi yako pata tax clearance

5. Nenda halmashauri nako utalipia gharama za leseni ya kusafirisha mazao hapo umekamilika

6.Tafuta kibali cha kuexport mazao wizara ya kilimo ambapo ni chini ya masaa 24 unapata

Hapo unakua na ruksa kusafirisha mazao yako nje ya nchi.

Na baada ya hayo yote iwe marufuku kwenda mashambani, kwa mkulima kununua mazao unachotakiwa kufanya ni kuenda kwenye maghala ya Taifa ambayo yatakua verified unaweza kununua au kwenye vituo vilivyoidhinishwa na serikali.

Faida kubwa serikali itaweza kufahamu kiasi gani kiuzwe nje na kiasi gani kibakie ndani kwa usalama wa chakula na nchi itakua stable.

Haiwezekani nchi iwe shamba la bibi yaani kila mmoja aingie kujichotea atakavyo.

HONGERA Waziri Bashe, hatimaye umeyasikiliza maoni yetu tulio wengi.
Watanzania ni mambulula sana laiti mngejuwa mngekaa kimya 🤐
 
Back
Top Bottom