OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,717
- 106,183
Ndio wanataka kupambana Sasa waone nani mshindi kati yao!!Unaijua nafasi ya Ristam Aziz hapo CCM bwashee?
Naunga mkono hojaNakupa dokezo.
Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe.
Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.
Bado hawajakata tamaa
Hakunaga wa kumshinda Ristam Aziz hapo CCM bwasheeNdio wanataka kupambana Sasa waone nani mshindi kati yao!!
Unawakumbuka Friends of Lowasa chini ya Dr Emmanuel?🐼Makonda ni mtu mkubwa sana ,sidhani kam kuna mtu wa kupambana naye,bashe siku zake zinahesabika
Ile BBT ni sanaa ya maigizo kwenye uhalisia wa kilimo cha Tanzania......sijui zimepigwa ngapi huko.Kama ule uozo wa BBT haukumuondoa sioni kingine cha kumuondoa, aendelee kuiba tu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Bashe akitoka itakuwa powa sanMakonda ni mtu mkubwa sana ,sidhani kam kuna mtu wa kupambana naye,bashe siku zake zinahesabika
kwa bashe hawatamuweza,ni mtu makini sana,na ana uwezo mkubwa sana kujieleza na on top of that Godfather ni mtu powerfulNakupa dokezo.
Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe.
Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.
Bado hawajakata tamaa
Du jmaaa ww ni mtu wa akili nyingi sana umeongea Big of pointKama ule uozo wa BBT haukumuondoa sioni kingine cha kumuondoa, aendelee kuiba tu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app