Basata yaufungia nyimbo ya lady jay dee "one time"

Basata yaufungia nyimbo ya lady jay dee "one time"

Huyu akishughulikiwa ni kwa sababu za kisiasa. Hata hivyo watu washainunua siku nyingi.
 
Kuna mstari kwenye nyimbo moja hua nasikia jamaa anasema kutwa nzima anadindisha kaimba na Nandy
 
Naandika huu walaka tuko na masela tunakula ganja. Kala Jeremiah in waambieni

Wanangu nyongeni ganja musiogope polisi ila msile unga mtapoteza nafasi. Ney wa mitego in salamu zao

Ndoto zangu kitambo zilikuwa nije kuwa paster zikayeyuka nilipopuliza moshi wa weed. Roma in mathematics

Tunaenda kupata nyasi. Ngweah in mikasi

Kama kutaja bange ndo chanzo cha wimbo kufungiwa basi wangefunga kwanza hizo nilizoorodhesha hapo juu

Wanangu wa panya road CHA UKUCHA kwa sadaliii na mnyamani ibiyodiiiii kizonga kwa nataki ...harmonize akihamasisha mihadarati kwa lugha ya kificho kwa kutaja mzigo unapopatikana
 
BASATA leo imeufungia wimbo wa JideJaydee 'one time' kwa sababu za kimaadili, MxCarter
amethibitisha kupokea barua hiyo na kusema japo haijafafanua kosa lenyewe lakini inaaminika ni mstari unaoimba "tu-smoke weed japo one
time"

MY TAKE: Sioni maana ya kufungia nyimbo ya msanii wa kitanzania kwa kutaja bangi mara moja wakati nyimbo za kimarekani, kinajeria, kupigwa na zina hamasisha bangi, ngono, pombe, kila aina ya uchafu.
Yani wamekosa kufungia hizi nyimbo zinazohamisisha ngono mara inama sijue chumba mbona nisukume sijui nini wanafungua nyimbo ya maana inayohamasisha tiba mbadala ya mmea.
Kwakweli mmea unaonewa.
 
BASATA leo imeufungia wimbo wa JideJaydee 'one time' kwa sababu za kimaadili, MxCarter
amethibitisha kupokea barua hiyo na kusema japo haijafafanua kosa lenyewe lakini inaaminika ni mstari unaoimba "tu-smoke weed japo one
time"

MY TAKE: Sioni maana ya kufungia nyimbo ya msanii wa kitanzania kwa kutaja bangi mara moja wakati nyimbo za kimarekani, kinajeria, kupigwa na zina hamasisha bangi, ngono, pombe, kila aina ya uchafu.
Yaani hiyo ndio sababu?
 
BASATA leo imeufungia wimbo wa JideJaydee 'one time' kwa sababu za kimaadili, MxCarter
amethibitisha kupokea barua hiyo na kusema japo haijafafanua kosa lenyewe lakini inaaminika ni mstari unaoimba "tu-smoke weed japo one
time"

MY TAKE: Sioni maana ya kufungia nyimbo ya msanii wa kitanzania kwa kutaja bangi mara moja wakati nyimbo za kimarekani, kinajeria, kupigwa na zina hamasisha bangi, ngono, pombe, kila aina ya uchafu.
Zipo nyimbo nyingi sana za bongo Flava zinazoimb matusi waziwazi mpaka unaniuliza BASATA wako wapi na wanafanya kazi gani. Huenda lady j alikataa kushiriki kampeni
 
But wamefungia hawajasema wakiedit watazuia tena...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom