Basata yaufungia nyimbo ya lady jay dee "one time"

Basata yaufungia nyimbo ya lady jay dee "one time"

Mocumentary

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
834
Reaction score
2,158
BASATA leo imeufungia wimbo wa JideJaydee 'one time' kwa sababu za kimaadili, MxCarter
amethibitisha kupokea barua hiyo na kusema japo haijafafanua kosa lenyewe lakini inaaminika ni mstari unaoimba "tu-smoke weed japo one
time"

MY TAKE: Sioni maana ya kufungia nyimbo ya msanii wa kitanzania kwa kutaja bangi mara moja wakati nyimbo za kimarekani, kinajeria, kupigwa na zina hamasisha bangi, ngono, pombe, kila aina ya uchafu.

Pia Soma: Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara
 
Watoe clean version yake. Hapo kwenye weed wascratch scratch..
 
Nchi ya hovyo sanaa hii.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Hahaha hao basata nao wanaimba au ni watunzi?!

Basata watunge nyimbo zenye maadili wazigawe, au wimbe wao tuzisikie.

Kazi yao ingekua kutoa ushauri sio kufungia tu.
Duuuu! Mzee uko high nini?
 
BASATA leo imeufungia wimbo wa JideJaydee 'one time' kwa sababu za kimaadili, MxCarter
amethibitisha kupokea barua hiyo na kusema japo haijafafanua kosa lenyewe lakini inaaminika ni mstari unaoimba "tu-smoke weed japo one
time"

MY TAKE: Sioni maana ya kufungia nyimbo ya msanii wa kitanzania kwa kutaja bangi mara moja wakati nyimbo za kimarekani, kinajeria, kupigwa na zina hamasisha bangi, ngono, pombe, kila aina ya uchafu.
Wakati huohuo wanafunzi wa kike vyuo vikuu wakiachia series za picha chafuchafu za utupu hadharani Baraza la Sanaa na Maadili ikiwa kimya. Kasentensi kamoja tu kwenye wimbo inakuwa nongwa. Hii ndiyo Tanzania, regulators wanataaluma za kubabaisha
 
BASATA leo imeufungia wimbo wa JideJaydee 'one time' kwa sababu za kimaadili, MxCarter
amethibitisha kupokea barua hiyo na kusema japo haijafafanua kosa lenyewe lakini inaaminika ni mstari unaoimba "tu-smoke weed japo one
time"

MY TAKE: Sioni maana ya kufungia nyimbo ya msanii wa kitanzania kwa kutaja bangi mara moja wakati nyimbo za kimarekani, kinajeria, kupigwa na zina hamasisha bangi, ngono, pombe, kila aina ya uchafu.
mbona kina Diamong, Harmonise, Nandy wanaimba matusi kila uchwao?

ni vile Jide hawashobokei hawa mumiani wa Lumumba ndo maana1
 
Naandika huu walaka tuko na masela tunakula ganja. Kala Jeremiah in waambieni

Wanangu nyongeni ganja musiogope polisi ila msile unga mtapoteza nafasi. Ney wa mitego in salamu zao

Ndoto zangu kitambo zilikuwa nije kuwa paster zikayeyuka nilipopuliza moshi wa weed. Roma in mathematics

Tunaenda kupata nyasi. Ngweah in mikasi

Kama kutaja bange ndo chanzo cha wimbo kufungiwa basi wangefunga kwanza hizo nilizoorodhesha hapo juu
 
wamekanusha ,basata wamesema habari ilikuwa ya uongo
 
mbona kina Diamong, Harmonise, Nandy wanaimba matusi kila uchwao?

ni vile Jide hawashobokei hawa mumiani wa Lumumba ndo maana1
Inama nipachike rungu.............

Tembo amedindisha mkonga............

Lakini wameachwa
 
Ila zile nyimbo za wanaohamasisha kufumuana tope, mitaro na marinda zipo hewani kama kawaida!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom