mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
Sasa BASATA mnafanya kazi nzuri kuzuia au kupunguza unyonyaji wa wasanii, Sasa Kuna inshu kubwa ya hao mnaowatetea pia hao ni wanyonyaji wakubwa Sana wa Maproducer, yaani producer wamebaki chawa, ifwatwe Sheria biti ibaki Mali ya producer na Kama diamond akiuza stream mil 10 basi na lizer apate chake haloo,
Maproducer wanaogopa wanapigwa laki 2, 3,6 mchezo umeisha, tunataka maendeleo ya Maproducer.
Maproducer wanaogopa wanapigwa laki 2, 3,6 mchezo umeisha, tunataka maendeleo ya Maproducer.