Barua ya wazi kwa mh. Zitto kabwe

Wa mwisho kutoka hapo CHADEMA afunge mlango,funguo ampe mbowe au Dr Slaa...
 
Mpiga chenga nyingi shurti mwili wake unyumbuke, ZZK ni janga la taifa na ni tishio kwa ukombozi ama CDM, NCCR au CUF zinaingia madarakani ZZK anabaki kuwa hatari kuliko ukoma, msaliti na muongo
 
Mheshimiwa Zitto,
Namshukuru Mola kwa kunipa nafasi na wazo hili la kukuandikia barua hii ya wazi.

Kwanza nianze kwa kusema kwamba mimi ni miongoni mwa Watanzania ambaye nilikuwa ninavutiwa sana na misimamo yako ya kizalendo ndani na nje ya Bunge. Ulivunja rekodi pale ambapo ulitolewa Bungeni kwa sababu ya msimamo wako thabiti katika kutetea maslahi ya umma.

Ni muda mrefu sasa kumekuwa na tuhuma nyingi toka ndani na nje ya chama chako (CDM) ya kwamba wewe pamoja na watu wako wengine wa karibu mmekuwa mkikiasi chama na kufanya mambo ya kudhoofisha harakati za upinzani nchini Tanzania. Mheshimiwa, vilevile kumekuwa na tetesi nyingi ya kwamba chama cha ACT ambacho kinasimamiwa na Ndg. Mwigamba kama Katibu Mkuu ni moja ya mikakati yako ya kupambana na CDM.

Mheshimiwa, natamani kupata kauli yako kuhusu msimamo wako na ukweli wa moyo wako kuhusu chama cha ACT. Naamini ni Watanzania wengi pia wenaopenda kusikia msimamo wako wa kisiasa.

Asante kwa kutumia muda wako kusoma waraka huu mfupi, na ninaamini kwamba utachukua hatua ya kuweka wazi msimamo wako.

Mungu Ibariki Tanzania.
Barua yako ni nzuri lakini kosa kubwa ni kumwita Zitto Mweshimiwa !!
Huyo si mweshimiwa tena kwa wale tunaomfahamu!! Wala hapana haja ya kutaka kujua msimamo wake kwa kuwa matendo yake yanajieleza kuliko kauli ya mdomo!
 
Mheshimiwa Zitto,
Namshukuru Mola kwa kunipa nafasi na wazo hili la kukuandikia barua hii ya wazi.

Kwanza nianze kwa kusema kwamba mimi ni miongoni mwa Watanzania ambaye nilikuwa ninavutiwa sana na misimamo yako ya kizalendo ndani na nje ya Bunge. Ulivunja rekodi pale ambapo ulitolewa Bungeni kwa sababu ya msimamo wako thabiti katika kutetea maslahi ya umma.

Ni muda mrefu sasa kumekuwa na tuhuma nyingi toka ndani na nje ya chama chako (CDM) ya kwamba wewe pamoja na watu wako wengine wa karibu mmekuwa mkikiasi chama na kufanya mambo ya kudhoofisha harakati za upinzani nchini Tanzania. Mheshimiwa, vilevile kumekuwa na tetesi nyingi ya kwamba chama cha ACT ambacho kinasimamiwa na Ndg. Mwigamba kama Katibu Mkuu ni moja ya mikakati yako ya kupambana na CDM.

Mheshimiwa, natamani kupata kauli yako kuhusu msimamo wako na ukweli wa moyo wako kuhusu chama cha ACT. Naamini ni Watanzania wengi pia wenaopenda kusikia msimamo wako wa kisiasa.

Asante kwa kutumia muda wako kusoma waraka huu mfupi, na ninaamini kwamba utachukua hatua ya kuweka wazi msimamo wako.

Mungu Ibariki Tanzania.


Sina hakika kama utaweza kupata jibu kutoka kwa Zitto mwenyewe kupitia hapa JF. Ningekushauri huu ujumbe umpitishie kwenye FaceBook au Twitter yake maana hapa JF imekuwa kama ni kwa mama mkwe wake. Hana ujasiri wa kupita hapa na kujibu maswali. Unaweza pia kutumia C/O Sanduku La Posta la chama fulani pale Lumumba, still ujumbe utamfikia. Husisahau kumwachia anuani yako.
 
chadema kwa nini hamonyeshi ukomavu kisiasa kila anapotajwa zitto? hivi hamuoni kama zitto kawazidi kwa busara kwa kuwakalia kimya? mlimvua vyeo nyie wenyewe, na mnadai mlishamfukuza uanachama. sasa mbona mnachachawa kila mkisia jina lake? kwa tabia yenu utadhan yeye ndiye aliyewafukuza chadema. hivi mnajiuliza mwaka kesho majimbo mangapi mtayatetea, achilia mbali kupata majimbo mapya? achanane na matusi yenu yakipum.bavu kila siku yanaharibu kabisa taswira ya chadema.
Mnasema busara zipi za zitto za kupunguza nguvu ya upinzani na kubomoa nyumba aliyoshiriki kuijenga kwa mikono yake Anabomoa akiwa bado yuko ndani Hatufai kabisa huyu kwa ujenzi wa Taifa
 
mzanzibarihalisi....katika dunia ya leo msomi na mwanasiasa kama zito kusaliti chama eti kisingizio dini ni upuuzi...pesa zimemtokea puani...kwani chadema hakuna waislam ????
 
Udini ndani ya chama ndio sababu ya Zitto kuonekana msaliti.Zitto yupo sawa na msimamo wake na dini yake na maslahi ya taifa kwa ujumla lakini pana ukweli ambao umefichwa hapa ambao Watanzania wengi hawajuwi.

Hiv zito ni dini gani? nifahamishe manake kajamaa ni kalevi balaa.
 
Khaa!! Bonson, , Tuhuma za ZZK ndani ya cdm ni za kipuu zi mno, ni wajing a tu na walevi ndiyo wanaoweza kuamini. Dr Mbowe na Dr slaa wanamaswali ya kujibu kwa watanzania juu ya kuigandamiza na kuiua demokracia tanzania. Hakika malipo watayaonja hapahapa duniani
 
nyie machalii vipi? fanyeni yenu na muacheni Zitto afanye yake. Aghhh

Mheshimiwa Zitto,
Namshukuru Mola kwa kunipa nafasi na wazo hili la kukuandikia barua hii ya wazi.

Kwanza nianze kwa kusema kwamba mimi ni miongoni mwa Watanzania ambaye nilikuwa ninavutiwa sana na misimamo yako ya kizalendo ndani na nje ya Bunge. Ulivunja rekodi pale ambapo ulitolewa Bungeni kwa sababu ya msimamo wako thabiti katika kutetea maslahi ya umma.

Ni muda mrefu sasa kumekuwa na tuhuma nyingi toka ndani na nje ya chama chako (CDM) ya kwamba wewe pamoja na watu wako wengine wa karibu mmekuwa mkikiasi chama na kufanya mambo ya kudhoofisha harakati za upinzani nchini Tanzania. Mheshimiwa, vilevile kumekuwa na tetesi nyingi ya kwamba chama cha ACT ambacho kinasimamiwa na Ndg. Mwigamba kama Katibu Mkuu ni moja ya mikakati yako ya kupambana na CDM.

Mheshimiwa, natamani kupata kauli yako kuhusu msimamo wako na ukweli wa moyo wako kuhusu chama cha ACT. Naamini ni Watanzania wengi pia wenaopenda kusikia msimamo wako wa kisiasa.

Asante kwa kutumia muda wako kusoma waraka huu mfupi, na ninaamini kwamba utachukua hatua ya kuweka wazi msimamo wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

You call this deranged daft "Mheshimiwa"

You have made me Puke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom