BRUCE LEE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 2,096
- 1,332
Habari za kazi wana JF?
Ndugu zangu nimepata barua inayoelezea kuwa inatoka ofisi ya waziri mkuu, tawala za mikoa na serikali za mitaa, barua hiyo inaelezea kua wakimbizi woote wanatakiwa kuondoka katika makambi kwenda kuishi mikoani na wananchi wengine na pindi wakifika huko baada ya kujiandikisha wao na kaya zao basi watapatiwa uraia.
Utata unaanzia katika barua hiyo ambayo inaelezea kua kila kichwa kitapatiwa fedha laki tatu za kitanzania kwa awamu mbili laki moja na nusu kwanza halafu baada ya kupata makazi mapya then atapatiwa nyingine iliyobakia mbaya zaidi watu hao wanatakiwa kuvunja nyumba zao bila fidia yoyote na kuacha mashamba yao na kisha kutumia laki tatu kama kianzio cha kila kitu kuanzia makazi elimu pamoja na huduma za afya.
Kiukweli nikiitazama hiyo barua naona kama imechakachuliwa kwanza haina adress ya mtumaji na pia haina muhuri wala saini ya katibu mkuu au waziri.
Na-attach barua hiyo pia kwa heshima na taadhima naombeni msaada wenu wa mawazo na maoni kwani kuna jamaa zangu wakimbizi wamenifikia na kuniomba ushauri na ufafanuzi zaidi hivyo naaamini hapa wataalam mna uwezo mkubwa wa kutoa njia na mawazo yenu asanteni sana
Ndugu zangu nimepata barua inayoelezea kuwa inatoka ofisi ya waziri mkuu, tawala za mikoa na serikali za mitaa, barua hiyo inaelezea kua wakimbizi woote wanatakiwa kuondoka katika makambi kwenda kuishi mikoani na wananchi wengine na pindi wakifika huko baada ya kujiandikisha wao na kaya zao basi watapatiwa uraia.
Utata unaanzia katika barua hiyo ambayo inaelezea kua kila kichwa kitapatiwa fedha laki tatu za kitanzania kwa awamu mbili laki moja na nusu kwanza halafu baada ya kupata makazi mapya then atapatiwa nyingine iliyobakia mbaya zaidi watu hao wanatakiwa kuvunja nyumba zao bila fidia yoyote na kuacha mashamba yao na kisha kutumia laki tatu kama kianzio cha kila kitu kuanzia makazi elimu pamoja na huduma za afya.
Kiukweli nikiitazama hiyo barua naona kama imechakachuliwa kwanza haina adress ya mtumaji na pia haina muhuri wala saini ya katibu mkuu au waziri.
Na-attach barua hiyo pia kwa heshima na taadhima naombeni msaada wenu wa mawazo na maoni kwani kuna jamaa zangu wakimbizi wamenifikia na kuniomba ushauri na ufafanuzi zaidi hivyo naaamini hapa wataalam mna uwezo mkubwa wa kutoa njia na mawazo yenu asanteni sana