Duh bro hahaha nimejikuta nacheka na hii formula yako hahaLazima ni dem no1 huyu.....watu tushapenda tushaacha na kuachwa mara ya 30.hahahah,..lakin hatukondi ndo kwanza tunazid nawiri
Ukishaijua formula ya mapenz,hata sku1 huwez lia bwana mdogo/mkubwa.
Formula ni....hakuna mwanamke au mwanaume wa peke yako...end of story.