Barrick yalaani unyama wa watumishi wake

Me370

JF-Expert Member
Mar 10, 2008
985
293
Barrick yalaani unyama wa watumishi wake
Sengerema District,
Mwanza Region
April 3rd 2008;


Two camp caretakers from Nyanzaga Camp which is approximately 1km from Sota Village in Sengerema District have been arrested for allegedly forcing a 13 year old girl to have sex with a dog.

Barrick Gold Tanzania strongly condemns this senseless and inhumane act. Barrick upholds a set of core values which among other things calls for people to respect everything as if it were their own. These values are the cornerstones of our corporate culture everywhere we operate.

This incident does not reflect the behavior expected from Barrick employee and we trust the law will takes its course and deliver justice.

The accussed Aniceth Ndege is a dog handler and Job Joas is a 'sungusungu' and a cook from Sota Village, both are caretakers of the Nyanzaga Exploration Camp which is owned by Barrick Exploration Africa Limited (BEAL).


Sincerely,

Teweli K. Teweli
PR & Communications

Barrick Gold Tanzania,
tteweli@barrick.com


Habari hii ni ya leo iko hapa
http://issamichuzi.blogspot.com/2008/04/barrick-yalaani-unyama-wa-watumishi.html
 
Wadau embu tujadili hii kitu imekaaje. Kikubwa ni kuwa tuwashikie bango waliotenda kitendo hicho wafungwe.
 
washtakiwe, wafungwe.Its very inhuman! ila barrick si wa kulaumiwa manake ni nature ya binadamu, popote mijitu mipumbavu ipo
 
Hawa jamaa wafanyiwe hivyohivyo kama walivyomfanyia huyo msichana kwakweli huu ni unyama tumefikia mahali ambapo huwezi kumfungulia mtoto wako aende hata dukani iwe ni wa kike au wa kiume.
Nakumbuka kipindi fulani kuna jamaa wazungu kutoka ujerumani walimlazimisha msichana (Kahaba)afanya mapenzi na mbwa huku wao wakichukua picha sasa naona imejirudia lakini sasa tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe hao jamaa nadhani wchukuliwe hatua kama hiyo au kifungo chao kiwe cha maisha waende nao wakafanywe asusa jela.
 
Huu ni unyama uliokithiri!
I think hawa jamaa wanastahili kupewa kifungo cha maisha tena watafutiwe gereza ambalo linaaminika kwa kuwa na wafungwa waliopinda ili na wao wageuzwe!
Why on earth would anyone do such a thing a poor innocent little girl of 13yrs???

Huu ni udhalimu...
 
mie kwa tanzania niijuwayo, na magereza niyajuwayo hao wataona june julai.

wakiwepo rumande tu watakuwa wake za watu huko mpaka watatoka na mateso mengi.


huu ni ushenzi na unapaswa kulaaniwa na tunaiomba mahakama kutoa adhabu ya juu ili iwe fundisho kwa wengine.

pia nnampa pole huyo ka binti kwa mitihani iliomfika
 
Kuna habari yingine nikisoma naona kama ni ndoto. Binadamu gani anaweza kufanya udhalimu kama huu? Wangatwe na mbwa mpaka wafe ndio adhabu inayowafaa.
 
Back
Top Bottom